Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Faida ipo uwe na uhakika wa maji tu ikifika mwezi wa 12 mahindi price inakuwa juu sana kwa mfano mbeya debe ni18000 kuanzia mwezi wa huo...wkt mwez huu wa 6 inashuka hadi 12
 
Aisee napenda kilimo cha umwagiliaji kwa kweli,nilidhan ameshakupa taarifa kamili ili utusaidie na sisi
Nami napenda sana kilimo na nina basic knowledge japo si practice kutokana na kubanwa na majukumu mengine, but nafikiria kupata maeneo makubwa kiasi niweke vijana wasimamie
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Asante hii post ni ya mwaka 2010 je matokeo yake yamekuaje mkuu unaweza kutupa mrejesho sbb mm ndo naiona leo.
 
Nami napenda sana kilimo na nina basic knowledge japo si practice kutokana na kubanwa na majukumu mengine, but nafikiria kupata maeneo makubwa kiasi niweke vijana wasimamie
Yaa wazo zuri,,pamoja na kuweka vijana ila nawe usikosekane mara kwa mara,,,mm binafs nataka kulima mwaka huu na nmejarib kuuliza uliza naona maeneo ya morogoro bado maeneo yapo mengi tu ila sijajua haswa hii migogoro ya wakulima na wafugaji ipoje kwa kweli...unaweza wekeza muda na hela zako kumbe sehem zenyewe zina migogoro ikawa hasara mara dufu...

Hiv kilimo cha green house kina gharama kubwa sana,,maana naona kama kina usalama zaid kuliko hiv vingine
 
Yaa wazo zuri,,pamoja na kuweka vijana ila nawe usikosekane mara kwa mara,,,mm binafs nataka kulima mwaka huu na nmejarib kuuliza uliza naona maeneo ya morogoro bado maeneo yapo mengi tu ila sijajua haswa hii migogoro ya wakulima na wafugaji ipoje kwa kweli...unaweza wekeza muda na hela zako kumbe sehem zenyewe zina migogoro ikawa hasara mara dufu...

Hiv kilimo cha green house kina gharama kubwa sana,,maana naona kama kina usalama zaid kuliko hiv vingine
Ni kweli green house ni salama lkn huwezi kumudu eneo kubwa ni gharama sana, nafikiri ni vyema kuanza na kilimo cha kawaida ukilenga baadae uwe na green house.

Morogoro kwa hakika yapo maeneo yenye mito yanayofaa kulimwa majira yote
 
Ni kweli green house ni salama lkn huwezi kumudu eneo kubwa ni gharama sana, nafikiri ni vyema kuanza na kilimo cha kawaida ukilenga baadae uwe na green house.
Morogoro kwa hakika yapo maeneo yenye mito yanayofaa kulimwa majira yote
Yaa wacha nijaribu kupambana huku chini kwanza kabla ya kufikiria kutimiza ndoto ya green house, maana mali siku zote ipo shambani, nashukuru sana kwa time yako bro QUIGLEY naiman tunaweza kutana shambani siku moja.

One love
 
Yaa wacha nijaribu kupambana huku chini kwanza kabla ya kufikiria kutimiza ndoto ya green house,,maana mali siku zote ipo shambani,,nashukuru sana kwa time yako bro QUIGLEY naiman tunaweza kutana shambani siku moja...One love
Amen, kila la heri kwako Xav bero
 
Mkuu na mm nalima na ni mwanafunzi chuo cha st.joseph nipo hapa nalima morogoro hekari mbili za mahindi na yamekua saivi kama vip karibuni mjinyakulie mashamba kwa hekari moja laki tano na jumla nimetumia laki tisa tu mpaka yalipofikia na pia kuna alizeti kwa hekari moja na jumla nimetumia 1.8 kwa hekari mbili pamoja na mahindi.

View attachment 504081View attachment 504082
hongera mkuu kwa hatua kubwa uliyopiga
kwenye kuotesha mazao kuna kitu kinaitwa 'seed rate' ambapo mbegu zikiota inadetermine plant space naona mahindi yapo karibu karibu kabisa hivyo hapo kuna intraplant competition (mgongano wa kimaslahi kati ya mmea na mmea kupata nutrients) siku nyingine chunguzan hilo upana kati ya mstari na mstari 70cm na upana 30cm kwa mavuno bora ya mahindi
Goodluck
 
Thanks FristLady1 kwa moyo wako wa kutaka ushirika - kazi ni ngumu kidogo lazima u dedicate at least 4 days kila mwezi kwenda site kufanya physical monitoring. kule ni camp bado kwa hiyo utahitaji kwenda na Maji ya kunywa for those days, safari bed na vitu vingine personal.
Chakula ni Local food, hakuna umeme, maji ya kuoga ni ya kisima (local), rafiki zako kwa those 4 days ni ndege - its real camping life - ni kama vile Maisha plus
Mkuu, nimekutumia private massage, naomba uingie usome kama hautijali. Ntashkr nkiona feedback. Asante
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Its great vision of being rich . I'm really pleased
 
Kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mahindi naomba anisaidie mawazo

Nataka kulima Mahindi maeneo ya Kimbiji mkoa wa Dar es salaam

Ningependa kujua Mbegu gani ni nzuri kwa ukanda huu, Madawa gani ntahitaji, Mbolea kiasi gani

Eneo nalotaka kulima ni heka 2, na Maji yapo ya kutosha eneo hilo endapo ntahitaji kumwagilia
 
Back
Top Bottom