ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
- Thread starter
- #61
Mkuu Malila wala sijakusahau.
Nina kazi kuubwaa saaaana ya kuvuna, yaani mpaka nachnaganyikiwa. Inatia moyo mpaka basi. Wazee changamkieni dili. Mawazo nimeyatoa humu humu.
Elnino kaza buti mazee. You will never regret. Trust me
Ogal, its true i'm serious - unajua sisi tuliolima those days kwa shida tena jembe la mkono toka saa 12 alfajiri mpaka 12 jioni becomes simple, we just change tactics and its done, this time by using salary as Capital.
So far Wakuu nishamaliza kupanda heka zote, nimepalilia na sasa naomba mungu tu ashushe mvua kwa neema then we talk more on June wakati wa mavuno.
Sasa hivi najaribu kulima heka kama mbili hivi za maharage ya soya as a testing phase for tne next season - cheers!!