Zote hizo ni Janja ambazo mw
Ukiwa na gunia zako zisizozidi 5 wala maliasili hawahangaiki na wewe,siku hizi watu wanachofanya wanaweka mkaa mwingi kwenye stoo (chimbo) wewe unakuwa na gunia zako chache za kuuza ukiisha unasogeza,hapo unakuwa umejiepusha na kuombwa rushwa na kutoa laki 2 na 61 ya vibali vya maliasili.KUWEKA GUNIA 100 KIJIWENI HIYO ILISHAPITWA NA WAKATI SIKU H
Endeleeni kumdanganya mwenzenu, Mimi nilidhani utabisha kwamba hahitaji kubali kumbe ni kuficha, itaweza ficha mkaa kweli ili Hali utaleta na gari na kushusha, stoo umekodi narudia tena litakuwa suala la muda Tu na ataliaUkiwa na gunia zako zisizozidi 5 wala maliasili hawahangaiki na wewe,siku hizi watu wanachofanya wanaweka mkaa mwingi kwenye stoo (chimbo) wewe unakuwa na gunia zako chache za kuuza ukiisha unasogeza,hapo unakuwa umejiepusha na kuombwa rushwa na kutoa laki 2 na 61 ya vibali vya maliasili.KUWEKA GUNIA 100 KIJIWENI HIYO ILISHAPITWA NA WAKATI SIKU HIZI