mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,915
Baada ya kumaliza chuo na kutafta kazi kwa miaka mitatu pasipo mafanikio niliamua nikajifunze ufundi alluminium.
Nimeifanya hii kazi kwa mwaka mmoja na miezi nane sasa, hivyo nimeungana na mwenzangu tukafungua ofisi yetu ya kutengeneza vitu vya aluminium kama milango, makabati na madirisha.
Bei zetu ni nafuu na uaminifu sana.
Ndugu zangu tupeni kazi za maririsha, milango na makabati tunafanya kazi kwa ubora wa hali ya juu.
Pia mtu akituletea tenda tutampa commision.
Namba yetu ni 0653474484
Asanteni
View attachment 429880
Nimeifanya hii kazi kwa mwaka mmoja na miezi nane sasa, hivyo nimeungana na mwenzangu tukafungua ofisi yetu ya kutengeneza vitu vya aluminium kama milango, makabati na madirisha.
Bei zetu ni nafuu na uaminifu sana.
Ndugu zangu tupeni kazi za maririsha, milango na makabati tunafanya kazi kwa ubora wa hali ya juu.
Pia mtu akituletea tenda tutampa commision.
Namba yetu ni 0653474484
Asanteni
View attachment 429880