Nimeamua kujaribu kufanya maendeleo ya kujengea nyumba kwa miezi mitano kwa kutumia asilimia 90 ya mshahara wangu. Hoja hii ya maendeleo haina mjadala.
Watoto watapikiwa ugali na kachumbari mwanzo mwisho. Watoto wakifukuzwa shule kwa sababu ya ada warudi wakae nyumbani. Atakayenipinga huyo anatumiwa na majirani na maadui zangu. Mtoto atakayefungua mdomo ni kipigo kwenda mbele. Mimi ni jiweee!!!
Baada ya miezi mitano uchumi wa familia utakuwa umeongezeka, nikimaliza nyumba tunahamia kwenye gari....
Maendeleo ya vitu hoyeee
Watoto watapikiwa ugali na kachumbari mwanzo mwisho. Watoto wakifukuzwa shule kwa sababu ya ada warudi wakae nyumbani. Atakayenipinga huyo anatumiwa na majirani na maadui zangu. Mtoto atakayefungua mdomo ni kipigo kwenda mbele. Mimi ni jiweee!!!
Baada ya miezi mitano uchumi wa familia utakuwa umeongezeka, nikimaliza nyumba tunahamia kwenye gari....
Maendeleo ya vitu hoyeee