PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Nelson Mandela anatimiza miaka 20 (11/02/2010)tangu aachiliwe kutoka katika Gereza alikotumiakia kwa mia ka 27!
Picha ya chumba(cell) cha Mandela akiwa Robben Island.
Hapo chumbani kuna vifaa 4 tu;
-Pa kulala, kitanda?/Kirago?
-Stuli ndogo
-Debe
-Sahani na kikombe!
Je, unalinganishaje umri alio nao huyu mzee hadi sasa(miaka karibu 91), na mateso haya aliyoyapata kwamiaka hiyo yote?
-Je Huenda mateso yale yalimkomaza mwili sana na akawa fit?
-Au kukaa bila kufanya kazi kwa muda mwingi kunasababisha mtu aishi zaidi, maana mwili unakuwa haukutumika?
-Ni nini siri ya umri mwingi wa mzee huyu?
Eee Mungu mbariki mzee huyu mwenye heshima na hekima, aishi miongo kadha mingine!
Picha ya chumba(cell) cha Mandela akiwa Robben Island.
Hapo chumbani kuna vifaa 4 tu;
-Pa kulala, kitanda?/Kirago?
-Stuli ndogo
-Debe
-Sahani na kikombe!
Je, unalinganishaje umri alio nao huyu mzee hadi sasa(miaka karibu 91), na mateso haya aliyoyapata kwamiaka hiyo yote?
-Je Huenda mateso yale yalimkomaza mwili sana na akawa fit?
-Au kukaa bila kufanya kazi kwa muda mwingi kunasababisha mtu aishi zaidi, maana mwili unakuwa haukutumika?
-Ni nini siri ya umri mwingi wa mzee huyu?
Eee Mungu mbariki mzee huyu mwenye heshima na hekima, aishi miongo kadha mingine!