Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Ndugai ndio anasugua goti pale kwa Halima ?Haahaa muulize ndugai atakwambia
Ndugai ndio anasugua goti pale kwa Halima ?Haahaa muulize ndugai atakwambia
Mkuu ndo mtetezi mkuu wa halima sasaNdugai ndio anasugua goti pale kwa Halima ?
Unaweza kutolea ufafanuzi wa mjusi wetu ambaye alichukuliwa Kilwa kwa hadaa na hadi leo hii anaiingizia Ujerumani pesa lukuki?
Yaani unafikiria mijusi😂
Na hizo trilion.7 haziwezi kutoka kwa sababu Lisu yupo jikoni huko anawaeleza kwa ukaribu kabisa usanii unaotokea bongo kwa hiyo nikama tu wamejiongezea mzigo wa kuwalipa hao mamluki wao waliowanunuaupinzani nchi hii hautakufa kwa sababu hakuna chadema. wala chadema haitakufa kwa kufukuza watu 19. upinzani hauwezi kufa kamwe kwa sababu ccm haina mawazo ya kuongoza nchi. ni hajuza. kizee. haina uwezo wa kufanya lolote mbali na kutumia maguvu na hujuma.
Awe makini asije akapasuliwa manyuMkuu ndo mtetezi mkuu wa halima sasa
Kuna kibabu kimoja huwa tunaambiwa kilishinda kwa kishindo ila cha ajabu na cha kushangaza hicho hicho kishindo kinamshinda.Na hizo trilion.7 haziwezi kutoka kwa sababu Lisu yupo jikoni huko anawaeleza kwa ukaribu kabisa usanii unaotokea bongo kwa hiyo nikama tu wamejiongezea mzigo wa kuwalipa hao mamluki wao waliowanunua
Halafu baba yao alivyokosa aibu ndio akaanza kuruka hadi ghorofaniPesa za mabeberu zimesababisha CCM wameruka sarakasi wakiwa wamejufunga taulo kiunoni.
"... baniani mbaya kiatu chake dawa ..."Serikali haiko desperate kwa sababu Tanzania tuna pesa. Hatuwezi kuwa watumwa wa kufadhiliwa mipango yetu wenyewe kwa kuwategemea. (hatuwezi kuwa omba omba). Wewe kaa mkao wa kula matango tu Tanzania uongozi wake unajitambua.
😁😁,na wewe ulivyopunguani ukakubali!Tunaweza tukawa na rasilimali nyingi lakini tukakosa soko maana wenyeww hatuwezi kutumia!Hatuna ujuzi huo!So Mabeberu wakikaza itabidi tutegemee kilimo tu!Fikra za kitumwa haziwezi kubadilika kutoka aina ya watu flani flani. Wamezaliwa watumwa na watakufa watumwa.
MAGUFULI: SISI SIO MASKINI WALA OMBA OMBA HATUTAKI MISAADA ILA TUTAWAPA WAZUNGU MISAADA - YouTube