emanuel goa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 442
- 468
Hapana mbona mleta mada na yeye amegenerise kwamba magufuli ana pendwa mitaani, je amejuaje mtaani kwetu kama tunampenda??Kutukana watu kiujumla unaonesha ukabila mkubwa ulionao ili Uwe na elimu kwako ni kuipenda CHADEMA???????