KML
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 861
- 133
Jamaa Hawezi kaa bila mdomo wake kutaja neno chadema, ata akihojiwa kwenye vyombo vya habari ata kama mada haihusiani na chadema lakini utasikia anaitaja chadema..Juzi kati apo General anamhoji ata havihusiani na chadema lakini kaitaja badae akajistukia, kama vipi hamia chadema wewe na jamaa zako