Nimeamini mwenye akili ni anayemaster mtaani, pamoja na akili zangu za darasani milioni 40 imepeperuka

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,960
Yaani yule ambaye ameweza kufanikiwa kwa michakato ya mtaani. Yaani upate hela mtaani. Kuna kipind kabla sijaamua kutumia akili zangu za asili, achana zile za kupata A...A+. Zile ukiwa na memory nzuri na kukariri unaweza zipata.

Akili za ukweli ni zile za kubadili mawazo kuwa kitu halisia. Iwe pesa au chochote, nimesema pesa kwa sababu kila mahangaiko ya hapa duniani mwisho wa siku ni zao la pesa na wateva

Sasa niliwahi kuwa na kama Milioni 40 halafu nikavamia mtaa nikijua akili zangu za darasani zitanipa matokeo. Milioni 40 yote ilipeperuka kwenye miradi. Nikarudi sqr1, nikaenda kwa ma-master wa mtaani ambao hata form 4 hawakufika. Wakanikalisha na kunipiga shule upyaaa. Nikajiona fffffffff...yaan zero. Sasa nimeanza kutumia elimu zao now naanza kuona matokeo chanya.

So nadiriki kusema usijesema wewe ni genius hata siku 1 wakati umeshindwa kutatua matatizo yako na jamii iliyokuzunguka. Wewe ni bingwa wa kukariri na kukumbuka tu.

Uzi tayari...

(Well.nina regrets nying..laiti zile 40 ningeanza wekeza now pind nina elimu ya mtaa ningekua tajiri flani hivi) natembelea V8 now.

Though nje ya kibarua ambacho 2022 naacha, nishafungua biashara kama 5 hivi lengo ni kuwa na magoli ya kuingiza pesa kama 30 hivi hadi kufikia 2022.
 
U genius nawenyewe huwa unabase sehemu fulani si tu kuwa na elimu mtaani ndio genius.. hao waliosoma ndio watakupangia kodi za biashara zako..!

Ipo hivi mtu alielimika ni yule anaejua kuitumia elimu husika kunufaika nayo.. Bado tunauhitaji wa manguli wa kuelimika waje wawe madaktari, rubani n.k

Sasa kasome hiyo elimu yako ya mtaani then uje utupupurushie ndege kama hujapeleka watu kuzimu..😂

Stand where you can stand.
 
Watu wanaokula mema niwasomi na wafanya biashara wakubwa sio hawa wauza mafungu ya nyanya
Inategemea na level ya kula mema. Kama unaona kuwa na gari mbili au kuwa na nyumba na kwenda mcity ni kula mema basi sawa.. wengine tushapita huko. Tunavyo vyote hivo... we want more.. na hao wasomi unaowasema hapa wengi ndio maisha yao hayo..

Ila kwangu huo bado ni umaskini..
 
U genius nawenyewe huwa unabase sehemu fulani si tu kuwa na elimu mtaani ndo genius.. hao waliosoma ndo watakupangia kodi za biashara zako..!

Ipo hivi mtu alielimika ni yule anaejua kuitumia elimu husika kunufaika nayo.. Bado tunauhitaji wa manguli wa kuelimika waje wawe madaktari,rubani n.k

Sasa kasome hiyo elimu yako ya mtaani then uje utupupurushie ndege kama hujapeleka watu kuzimu..

Stand where you can stand.
Ulielewa niliposema akili/u genius ni ku master mazingira yako na kuwa na mchango. Sasa wewe ndio umesoma u pilot halafu hu practise huo u pilot. na wewe nikuite una akili.. haya wewe ni daktari halafu hauperfom to the maximum.

Sasa wewe tukuite genius...unakua dokta wa kawaida tuu ..hatuwezi kukuita genius.. hata hao wafanya biashara niliosema ni wale wanaofanya vizuri ukiona mtu kafanya vizuri kwenye nyanja fulani ujue huyo ni ana akili..

sasa wewe una CPA yako halafu uko kwenye front desk bank teller au uko TRA unajazia watu form za kodi wewe tukuite una akili?
 
Hakuna kitu bora duniani kama kua na maarifa...

Akili za mtaani ni zipi maana sijaelewa?

Kugeuza maarifa kua physical wealth ndio "akili za mtaani"?

Thats new to me aiseee!
Yah ..uki sahih..geuza maarifa yako yakufaidishe wew na jamii iliyokuzunguka.kwa ubora wa hali ya juu ..hyo ndio akili

Na sio una CPA halafu umekaa kwenye desk la mbele TRA unajazia watu form za kodi. au ni bank teller au ni agriculturist halafu hata shamba darasa huna.
 
Yah ..uki sahih..geuza maarifa yako yakufaidishe wew na jamii iliyokuzunguka.kwa ubora wa hali ya juu ..hyo ndio akil
Mkuu kwa sisi watu wa capitalism, infact maarifa yangu ni yangu, na ni wajibu wangu kuhakikisha nayatumia kuninufaisha mimi na wala sio jamii... Yaani sisi wenye imani ya private entreprise, kila mwanadamu ni responsible kwa maisha yake na matendo yake yeye kama yeye.

Maarifa yangu ni haki yangu kuyatumia for my own survival within the agreed laws of the land.Hivyo ni jukumu langu kujijengea mali as much as I possibly can within the law.

jamii itajijua yenyewe,maana kila mtu ni lazima abebe msalaba wake.Notion ya kutumia mali yangu kunufaisha wanadamu wengine labda kwa hiyari yangu mwenyewe na sio coercive force kutoka kwa jamii au govt au yeyote.

Mimi kujenga bidhaa na kuvumbua biashara na kuuza kwa jamii does not mean I love the jamii, Infact I'm selling my products to help myself, jamii ikiona imenufaika ni byproduct tu...

Maarifa yangu yananisaidia mimi na sio lazima wewe uone. Definition yako is not for my best interest, I myself knows my best interest na sio wewe umeona elimu au maarifa yangu halafu unapitisha judgement eti haisaidii jamii.... Jamii and all others can screw themselves maana it is not my responsibility to run life of another person.

Na sio una cpa halaf umekaa kwenye desk la mbele tra unajazia watu form za kodi.au ni bank teller .au ni agriculturist halaf hata shamba darasa huna....
Ni maajabu wewe kutoa definition whats good for somebody else.

Infact kila mtu anajua whats best for him or her na sio any other creature. Ni ajabu sana wewe kukaa na kuanza ku-define whats best for everybody kutokana na mtazamo wako wewe binafsi. Ni bora ukatoa whats best for you, ONLY!

Yule aliekaa TRA au benki knows best for himself, na he is the one who owns himself and not anybody else. Hayupo responsible for anybody else but himself.

Capitalism is the best way to run the society.Whats best for individual ultimately will be best for the whole jamii kwa ujumla and not otherwise! Whats best for him ndio inakusaidia wewe unafungua makampuni unapata TIN na VAT na unafungua bank accounts per day anasaidia maelfu ya watu kama wewe.

Na pia akili ya "mtaani" ni ujinga mwingine usiokua na definition....tukikwambia define maana ya akili ya "mtaani" huwezi toa.
 
Kuwafaidisha jamii simaanishi uchume mali na uzigawe.namaanisha.tumia akili yako wao wahitaji vtu kutoka kwako.nawewe kupitia mantik hyo utatengeneza pesa nying.na hapo ndo akili yenyew ilipo.tengeneza uhitaji ...mlaj afurah nawewe ufurah...hyo ndo akili na aliefanikiwa hapa kikamilifu bas lazma ana mafanikio makubwa..hukunielewa mantiki hii..na hapo ndo penye siri kubwa inayomtofautisha bakhresa anaeza unga wanakula had maskin na wew unaeuza magar yapo kwenye yard huwez kuwa tajir kama anaeuza bidhaa ambayo kwake ni biashara lakin kwa wengne ni huduma na ziada
 
Back
Top Bottom