wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Najaribu kuvuta picha kipindi cha msiba wa magufuli huyu sabaya alitoa machozi kuliko hata mama Janeth na familia yake mlengwa mkuu kumbe kulikuwa na siri kubwa sana nyuma ya pazia.
Kwa sheria zetu hizi na katiba hii ya zamani sitashangaa hawa wahalifu watajwa wasifanywe chochote.
Tanzania nchi yangu naipenda sana.
Weekend njema.
Kwa sheria zetu hizi na katiba hii ya zamani sitashangaa hawa wahalifu watajwa wasifanywe chochote.
Tanzania nchi yangu naipenda sana.
Weekend njema.