Hata kifo chake ni wao
Kwa Sasa jukwaa limejaa mapambio na sifa zisizostahili hata kidogo ,ili mradi kukomoa wafuasi na mashabiki wa late Magufuli.
Si Twitter, Facebook, matusi hayapo,kilichobaki ni kusifiana na kupongezana,haya nayo yana mwisho
Lazima uelewe, matendo yake hasi yalimfikisha alipofika.Kwa Sasa jukwaa limejaa mapambio na sifa zisizostahili hata kidogo ,ili mradi kukomoa wafuasi na mashabiki wa late Magufuli.
Si Twitter, Facebook, matusi hayapo,kilichobaki ni kusifiana na kupongezana,haya nayo yana mwisho
Mbona hukuyasema awamu Ile?Kwa Sasa jukwaa limejaa mapambio na sifa zisizostahili hata kidogo ,ili mradi kukomoa wafuasi na mashabiki wa late Magufuli.
Si Twitter, Facebook, matusi hayapo,kilichobaki ni kusifiana na kupongezana,haya nayo yana mwisho
Kweli Tanzania mungu anaipenda tulianza kuona hivyo kwenye issue ya corona na sasa kwa kutuondolea Magufuli, inaweza kuwa Tanzania tuna mungu wetu made in Tanzania.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu aliyeko motoni bila damu kumwagika.
Sasa ukiwa na akili timamu unaweza kumstahi yule mtu? Alikuwa mwendawazimu.Kwa Sasa jukwaa limejaa mapambio na sifa zisizostahili hata kidogo ,ili mradi kukomoa wafuasi na mashabiki wa late Magufuli.
Si Twitter, Facebook, matusi hayapo,kilichobaki ni kusifiana na kupongezana,haya nayo yana mwisho
Ili yule muuaji amuue? Anasema sasa hivi kwakuwa muuaji kadedishwa tena na kadudu kadogo ka 19Mbona hukuyasema awamu Ile?
Umeacha kuimba mapambioNayasema sasa
Dah hii kitu inanichanganya sana. Nilikuwa na mzee flani juzkati yeye mwenyewe anadai yuko kwenye system hadi sasa hivi lakini anamakaz hapa Denmark simuelewielewi lakini yuko deep sana kwa maswala ya intelligence alinihakikishia kabisa mchizi walimu ondoa na walimlia timing alivyoumwa wa kachukua iyo fursa. Ila uwezekano wa kupona kwa mchizi ulikuwepo.
Huyu mzee kuna wakati alinionyaga aliponiskia nikiropokaropoka kuikanda serikali akanipa somo na tahadhari niwe muangalifu bado mimi ni kijana mdogo. Ila tunasikilizana sana kwasababu ya mjani kitu cha Arusha ndo maana ananisogezea nondo za hatari kutoka jikoni kijitonyama mengine siyo vizuri kuweka hadharani ni confidential