elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
infact hii ni kweli kabisa, yaani kwakweli kuna rafiki yangu mmoja aliwahi niambia toka apate kagari basi anajibebea watoto wazuri bila kuhangaika na ndiyo maana vijana siku hizi wanawaza wachukue mkopo wanunue kagari, kwakweli kagari kamekuwa kalimanzira wa mapenzi a.k.a kwa lugha ya kitaalamu kanaitwa catalyst.
U UNANIELEWA............................................
U UNANIELEWA............................................