kisikiji
JF-Expert Member
- Feb 2, 2015
- 2,530
- 2,494
Mtani umri wangu watoto wrote ni wazuri, lakini hawamshindi aliyenidanganya nikaapa kanisani..hata watoto wazuri hamuoni .. kweli mtani si vyema
Mtani umri wangu watoto wrote ni wazuri, lakini hawamshindi aliyenidanganya nikaapa kanisani..hata watoto wazuri hamuoni .. kweli mtani si vyema
sawa mtani na hongeraMtani umri wangu watoto wrote ni wazuri, lakini hawamshindi aliyenidanganya nikaapa kanisani..
kwani bar kuna nini jameni kizuri kushinda nyumbaniDEMBA, ndugu yangu pombe za nyumbani hazinogi hata siku moja!!!!
Namiliki wanawake 6 watoto 18 wajukuu 4 na wote wanakula na kuvaa swaaafi kabisa. Utanikisoa hilo kuoa wanawake wengi bila kufikilia kuwa wanawake ni wengi na kila m1 angependa aoleweWewe husiekunywa tupe mfano wa mafanikio yako please ili tukuige