Nimecheka sana Mkuu hiyo sentensi ya mwisho. Anyway mimi sio mfuasi sana wa hayo maneno ila ninaamini kuwa Mwenyezi Mungu hukupa kwa wakati autakao yeye. Wakati nimepata watoto mapacha kauli za "Ujipange mapacha sio mchezo" zilikuwa hazikauki masikioni mwangu ila Mungu ni mwema hakuna kilichonipungukia sana sana nazidi kuuona mkono wake.Nilikuwa na maisha magumu baada ya kuoa, ila nilipomzaa mtoto wangu wa kwanza P, maisha yakachange. Pesa haijakatika kwa miaka 3 mfululizo. Na ikikata pesa ndani ya masaa machache napata.
Sasa Jumatatu asubuhi nikampeleka P kwa maza wake mdogo aka shem. Duuuuhhh wiki hii pesa ilikata kabisa. Ndipo nikakumbuka maneno ya wife ambayo aliyasema muda kidogo kuwa kuzaliwa kwa P kumeleta neema.
Leo namfuata mtoto wangu.
Mungu mkubwa.Nimecheka sana Mkuu hiyo sentensi ya mwisho. Anyway mimi sio mfuasi sana wa hayo maneno ila ninaamini kuwa Mwenyezi Mungu hukupa kwa wakati autakao yeye. Wakati nimepata watoto mapacha kauli za "Ujipange mapacha sio mchezo" zilikuwa hazikauki masikioni mwangu ila Mungu ni mwema hakuna kilichonipungukia sana sana nazidi kuuona mkono wake.