Wanabodi CCM yetu sasa siyo taasisi tena yenye kujiendesha Kama zamani, sasa hivi maamzi yote yategemea maagizo au maekezo ya Paulo Makonda na Magufuli.
Makonda au Magufuli akisema swala hili lazima liwe hivi kwenye vikao na CCM kwa ujumla hakuna wa kubisa!.
Naomba nitoe mfano kidogo kwa nafasi yangu nilioweza kufuatilia kwa karibu na kuona hatma yake, issue ya uteuzi wa nafasi ya Meya Manispaa ya Ilala imeniacha kinywa wazi. Naomba mwenyewe nafasi afuatilie saga hilo maana simulizi ni ndefu.
Hivi Makonda na Magufuli ndio wa kutoa maamzi ya kitaasisi wajumbe wengine kamati kuu wakae kimya!.
Mheshimiwa Bashiru Katibu mkuu CCM naomba uje huku kwa wanaCCM Ilala na wanaCCM Tanzania nzima uwaeleze mchakato ulivyokuwa mpaka mkatuletea jina Omary Kumbilamoto na mkaacha wateule wengine waliopendekezwa na vikao vya chini ili tuweze kuwaelewa.
Yaani mnatuletea Kumbilamoto huyu huyu aliekuwa CUF tukavumilia tukamrudishia udiwani, tumevumilia tukamrudishia unaibu Meya, hata miezi haijaisha ameona unaibu haufai ametaka Umeya mmempa!.
Mnampa nafasi hii kisa ni tu Makonda katoa maelekezo, mnampa tu kisa ni dampo la Makonda!.
CCM ya Kinana sio hii, CCM ya Makamba sio hii, CCM ya Mkama sio hii.
Naomba Mhe Bashiru ukuje huku utueleze kilichotokea ili niendelee kuamini kuwa CCM yangu bado ni Taasisi na si mali ya Makonda na Magufuli.
Naomba mniwie radhi kwa wale niliowakwaza kwa namna moja au nyingine kwa bandiko langu hili maana watu wazima, wasomi, n.k kugeuzwa kama wajinga wajinga hivi.
Makonda au Magufuli akisema swala hili lazima liwe hivi kwenye vikao na CCM kwa ujumla hakuna wa kubisa!.
Naomba nitoe mfano kidogo kwa nafasi yangu nilioweza kufuatilia kwa karibu na kuona hatma yake, issue ya uteuzi wa nafasi ya Meya Manispaa ya Ilala imeniacha kinywa wazi. Naomba mwenyewe nafasi afuatilie saga hilo maana simulizi ni ndefu.
Hivi Makonda na Magufuli ndio wa kutoa maamzi ya kitaasisi wajumbe wengine kamati kuu wakae kimya!.
Mheshimiwa Bashiru Katibu mkuu CCM naomba uje huku kwa wanaCCM Ilala na wanaCCM Tanzania nzima uwaeleze mchakato ulivyokuwa mpaka mkatuletea jina Omary Kumbilamoto na mkaacha wateule wengine waliopendekezwa na vikao vya chini ili tuweze kuwaelewa.
Yaani mnatuletea Kumbilamoto huyu huyu aliekuwa CUF tukavumilia tukamrudishia udiwani, tumevumilia tukamrudishia unaibu Meya, hata miezi haijaisha ameona unaibu haufai ametaka Umeya mmempa!.
Mnampa nafasi hii kisa ni tu Makonda katoa maelekezo, mnampa tu kisa ni dampo la Makonda!.
CCM ya Kinana sio hii, CCM ya Makamba sio hii, CCM ya Mkama sio hii.
Naomba Mhe Bashiru ukuje huku utueleze kilichotokea ili niendelee kuamini kuwa CCM yangu bado ni Taasisi na si mali ya Makonda na Magufuli.
Naomba mniwie radhi kwa wale niliowakwaza kwa namna moja au nyingine kwa bandiko langu hili maana watu wazima, wasomi, n.k kugeuzwa kama wajinga wajinga hivi.