Nimeamini Kumbe Sio Msituni Tuu, Bali Hata Kwenye Siasa, Simba Mwenda Kimya Ndiye Mla Nyama!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,570
Wanabodi,

Kuibuka kidedea kwa Dr. John Pombe Magufuli, kuwa mpeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao, sasa Nimeamini Kumbe Sio Msituni Tuu, Bali Hata Kwenye Siasa, Simba Mwenda Kimya Ndiye Mla Nyama!. Pia kuna kwa ukweli kidogo kwenye maneno haya "The barking dogs, seldom bite!".

Funzo tunalolipata hapa, ni politics is very unpredictable game, hivyo one you always never be too sure to invest so much, kisha mwisho wa siku you end up kuvuna nothing!. Watu wali invest so much kwa kelele nyingi, kwa mategemeo ya kuvuna so much, na kila walipopita walipokelewa kwa shangwe kwa umati kubwa za watu wakisindikizwa kwa nyimbo na mapambio, mwisho wa siku, waliokula nyama ni simba mwenda kimya!.

Na kwa wanasiasa waliojibainisha wazi wazi to take sides, jee sasa watasimamia wapi?!.

In politics, never be too sure of anything until you are real sure!, anything done in politics, it is not done until it is over!.

The winner takes it all,
The looser standing small!


Sasa lazima tuje to an open, ama tukiri wazi tumejerehiwa na tunamuunga mkono mgombea wa CCM, au tutangaze vita, ila kwa vile mgombea huyu wa CCM ni jembe la ukweli, then, nashauri, tukubali kushindwa kuliko kutangaza vita na fighting a loosing battle!. Mimi nashukuru kuwa miongoni mwa waliolijua hili Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums

Tumepigwa tukapigika!,
Tumeumizwa, tukaumizika na kuumia!,
Tumeangushwa tukaanguka!.
Tumetegwa tukategeka!.
Tumefitiniwa tukafitinika!
Tumeaibishwa tukaaibika!.
Tumenyong'onyezwa, tukanyong'onyeka!
Tumenyanyaswa tukanyanyasika!.
Tumepuuzwa tukapuuzika!
Tumeonewa, tukaoneeka!.
Tumedharailiwa tukadharaulika!
Tumebezwa tukabezeka!
Tumetegwa tukategeka!
Tumechekwa, tukachekeka!.
Tumelizwa, tukalizika!
Tumetahayarishwa tukatahayarika!.
Tumechoshwa tukachoseka!.


Yaani kila kitu kimekwenda ndivyo sivyo, ila haya yote ni nusu shari tuu, shari kamili ni October 25!.
We have to learn from our mistakes!.


Bado tuna 3 options
  1. Retreat and surrender, kwa formula ya if you can't beat them, join them!.
  2. Retreat kwa ajili ya kujijenga upya and strike again!.
  3. No retreat, no surrender but fighting on hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la ..linamwagika!.
The choice is ours, askari wetu bado wako vitani wamesimama mstari wa mbele wakiwa wako tayari kwa lolote, wanasubiri tuu amri!.

Swali ni Jee baada ya kujeruhiwa, na hali tete ya afya ya kamanda wetu, bado ana guts to fight on, au kukubali tuu yaishe tusonge mbele na simba mwenda kimya!

Paskali
 
Mkapa si Kikwete na Kikwete si Mkapa. Mwaka 2005 watu walim-ambush Mkapa mpaka akasalimu amri. Walijenga mtandao uliojumuisha watu kutoka kila idara na mihimili ya serikali huku Mkapa akiwa hajui na ilipofika siku ya siku amepigwa ambush akambiwa mzee ''hapa hakuna ujanja kwani usipompitisha Kikwete atahamia Chadema na hutaweza kumshinda''. Mzee wa watu ikabidi akubali yaishe. Lowassa kwa ''ujanja'' wake akaona atumie mbinu hizo hizo kwa Kikwete. Kumbe mwenzie yeye ni mjuzi kuliko yeye na alishafunga dirisha alilopitia. Nina uhakika hata Mkapa angekomaa namna hii Kikwete leo asingekuwa rais.
 
Pasco! Salaam alekum kaka. Usiseme kujeruhiwa, sema kuuwawa. Sisi hatuendelei kupiga nyoka aliyekwisha kufa ila lazima tuchimbe shimo tumfukie

Swali ni Jee baada ya kujeruhiwa, na hali tete ya afya ya kamanda wetu, bado ana guts to fight on, au kukubali tuu yaishe tusonge mbele na simba mwenda kimya!
 
Nilisubiri kwa hamu kubwa maoni yako. TATIZO KUNA MOD ANA KIHEE, MSIMUVUZISHE HII.
 
Mgombea anapokuwa anaumwa ugonjwa sio wa kupona
na umri ni miaka zaidi ya 60..
na pesa alizotumia ni karibu na bajeti za wizara mbili au tatu

hapo hakuna ku retreat....
kupona tu majeraha it will take time

Naona na Pasco umeanza kuwacheka wenzio kinamna
 
Last edited by a moderator:
Usidanganyike, Mkwere alimtaka J Agustino kama siyo Bernad Membe, au Asha Migiro mengine yote ni geresha zake baada ya kushindwa. Kwa mizengwe ya CCM hakuna raisi aliyeko madarakani aliyefanikiwa kumweka mtu wake nafasi ya urais. Kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa hadi Kikwete
Mkapa si Kikwete na Kikwete si Mkapa. Mwaka 2005 watu walim-ambush Mkapa mpaka akasalimu amri. Walijenga mtandao uliojumuisha watu kutoka kila idara na mihimili ya serikali huku Mkapa akiwa hajui na ilipofika siku ya siku amepigwa ambush akambiwa mzee ''hapa hakuna ujanja kwani usipompitisha Kikwete atahamia Chadema na hutaweza kumshinda''. Mzee wa watu ikabidi akubali yaishe. Lowassa kwa ''ujanja'' wake akaona atumie mbinu hizo hizo kwa Kikwete. Kumbe mwenzie yeye ni mjuzi kuliko yeye na alishafunga dirisha alilopitia. Nina uhakika hata Mkapa angekomaa namna hii Kikwete leo asingekuwa rais.
 
Usidanganyike, Mkwere alimtaka J Agustino kama siyo Bernad Membe, au Asha Migiro mengine yote ni geresha zake baada ya kushindwa. Kwa mizengwe ya CCM hakuna raisi aliyeko madarakani aliyefanikiwa kumweka mtu wake nafasi ya urais. Kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa hadi Kikwete

Ni kweli mkuu. Baada ya kuona kumweka Migiro inaweza kuwa ngumu nasikia alitaka Jaji achukue mpaka 2020 ili amwachie Migiro. Na hii ikatoka kapa
 
Mkapa si Kikwete na Kikwete si Mkapa. Mwaka 2005 watu walim-ambush Mkapa mpaka akasalimu amri. Walijenga mtandao uliojumuisha watu kutoka kila idara na mihimili ya serikali huku Mkapa akiwa hajui na ilipofika siku ya siku amepigwa ambush akambiwa mzee ''hapa hakuna ujanja kwani usipompitisha Kikwete atahamia Chadema na hutaweza kumshinda''. Mzee wa watu ikabidi akubali yaishe. Lowassa kwa ''ujanja'' wake akaona atumie mbinu hizo hizo kwa Kikwete. Kumbe mwenzie yeye ni mjuzi kuliko yeye na alishafunga dirisha alilopitia. Nina uhakika hata Mkapa angekomaa namna hii Kikwete leo asingekuwa rais.

Jamaa uko makini sana kwa kuliona hili,, eti kalifunga dirisha alilopitia,, JK mtoto wa mjini kweli na fitina kweli anazijua,, alibana kila mahali kuanzia kwa rostam mpaka kwa lowassa mwenyewe, unajiandaa kushambulia na jeshi lako ukigeuka nyuma utoe amri unakuta wote wamekufa hapo inabidi tu unyooshe mikono juu,, JK FITINA HATARI.
 
Leo nimegundua kwanini MENGI povu lilikuwa linamtoka oooh raisi anataka kunishughulikia duh kumbe njia za ikulu JK aliziziba mapema ndio maana ikaitwa safari ya matumaini kumbe toka mwanzo uhakika haukuwepo,, kweli JK mtoto wa mjini**,, JOKA limetulia maana siku nyiiingi sumu ilitolewa,,,
 
Tatizo la ku copy and paste....unatumiaje mbinu za miaka 10 ilopita afu utegemee ushindi...

Magufuli inawezekana hakuwa chaguo kwa yeyote..ila u neutral wake na kukubalika kwa watu kumemlipa....

Na hii inaleta imani kuwa atapiga kazi sababu hana deni la mitanadao...JK mwenyewe kasema urafiki mbaya kwenye kazi....

Ndo napompendea JK alipokosea anakiri makosa yake...
Mkapa si Kikwete na Kikwete si Mkapa. Mwaka 2005 watu walim-ambush Mkapa mpaka akasalimu amri. Walijenga mtandao uliojumuisha watu kutoka kila idara na mihimili ya serikali huku Mkapa akiwa hajui na ilipofika siku ya siku amepigwa ambush akambiwa mzee ''hapa hakuna ujanja kwani usipompitisha Kikwete atahamia Chadema na hutaweza kumshinda''. Mzee wa watu ikabidi akubali yaishe. Lowassa kwa ''ujanja'' wake akaona atumie mbinu hizo hizo kwa Kikwete. Kumbe mwenzie yeye ni mjuzi kuliko yeye na alishafunga dirisha alilopitia. Nina uhakika hata Mkapa angekomaa namna hii Kikwete leo asingekuwa rais.
 
Magufuli inawezekana hakuwa chaguo kwa yeyote..ila u neutral wake na kukubalika kwa watu kumemlipa....

Na hii inaleta imani kuwa atapiga kazi sababu hana deni la mitanadao...
JK mwenyewe kasema urafiki mbaya kwenye kazi....

Ndo napompendea JK alipokosea anakiri makosa yake...
Mkuu kuna jambo muhimu sana ambalo ulilisema kitambo kumhusu Magufuli ambalo nimeli bold, na sasa naliona likitokea.
asante.
Paskali
 
Magufuli alibahatika baada ya mafahali wawili kushindwana ila hakuwa chaguo la wanaccm ktk mbio za uraisi .
 
Mkuu kuna jambo muhimu sana ambalo ulilisema kitambo kumhusu Magufuli ambalo nimeli bold, na sasa naliona likitokea.
asante.
Paskali
Hakuna lolote, kwani Trump ana deni na nani?

Tumeingizwa mkenge kwa chuki binafsi hili tulikubali.

Yeye mwenyewe amekiri alijaribu akajikuta amesukumiziwa humo, hakuwa na agenda za Urais ni vigumu kuleta matokeo zaidi ya kuwashughulikia matajili ambapo haitosaidia utajili wao kuamia kwa maskini.
 
Back
Top Bottom