Nimeamini Kariakoo bidhaa nyingi ni feki kwenye vipodozi ndio usiseme

Ungetaja hizo spot chache ambazo bado kuna nguo standard ungekuwa umetisha sana..

Nguo standard za kiume kwa shekilango road limebaki duka moja tu au mawili Yale ambayo yapo pale Mugabe kona yakwenda kituo cha Mawasiliano, maduka yalosalia kwa shekilango road ni feki tupu.

Roby one na Born2shine bado nawo wana vitu standard pale mwenge duka ni moja tu ROMS ambalo lipo kushoto right after soko la vyakula kama ukiwa unatokea huku TRA.

Ila pale kariakoo sio pakugusa, kuna duka moja pale kituo cha daladala cha mwananyamala niliuziwa shati elfu25 nimekuja kulivaa home kumbe material ni polista, yaan ukilipiga pasi linalia ta ta ta ta afu siku Chache tu limeshabadili rangi yake.Ni masikitiko kwakweli
 
Sijutii uamuzi wangu wa kununua kila kitu online alibaba,ebay na aliexpress pamoja kwamba nasubir muda mrefu ila napata ninachostahili
 
Sijui niseme nini wakuu lakini kwanini Kariakoo ndo nyumbani mwa fake products?Mlikua mkisema humu nikapuuza nikaona mnaongea tu kweli nimeamini kariakoo asilimia kubwa ya Bidhaa ni feki

Simu feki kariakoo, mfano ukitaka Samsung feki Kariakoo, Tecno feki kariakoo, Huawei feki Kariakoo, Lg feki Kariakoo, simu feki nyingi ni kariakoo maduka ya simu feki ni mengi sana kuliko ya simu original cha muhimu ni umakini wakat unanunua ili uweze kupata kitu Og

Ukija kwenye Tv na redio ndo usipime feki feki tu Samsung flat tv feki kibao,StarX feki kariakoo,Lg feki kariakoo,Sony feki kariakoo,Panasonic feki kariakoo sikushauri kabisa kama huna uelewa lakini kama unajua kutofautisha og na feki basi nenda na najua sio wote wanaouza feki but wengi sana wana tv feki?

Vifaa vya umeme feki


Hadi nguo feki unanunua siku mbili ishachuja rangi na kupauka

Hadi mataulo ni feki tu nilinunua Taulo elfu kumi na mmoja nimeogea wiki tu limeanza kuchanika linachanika kama likaratasi vile na ukijikaushia linakuacha na manyusi nyusi yale nimeamua kulitia moto tu

Kwenye vipodozi ndo usiseme yaani ni fake zone ya vipodozi ni kariakoo kwa East Africa nzima yaani brothers and sisters siwashauri kabisa kama ni cosmetics kutegemea kariakoo kama huna umakini najua wapo wanaouza Og lakini ni wachache most cosmetics kariakoo ni feki Nilikua nimepanga kununua mizigo ya vipodozi nisafirishe mikoani lakini nimestop maana nimeishiwa na nguvu maana vipodozi feki ni vingi sana kiasi cha kuchoka kujua ni wapi walau wanauza Og,,,,,Labda wadau mnisaidie.Ndo maana wengi wanaonunua kariakoo cosmetics wakiuza wateja wanalalamika kumbe ndo sababu

Maoni yangu ya hili

Najua wengi wengi mnachukua bidhaa kariakoo,za jumla na rejareja aka machimbo, nadhani kuna haja ya kuambizana maduka wanayouza vitu original ili kuepuka watu wengi kuumizwa maana wengi wanaumia hususan wateja kwasababu ya vitu feki

Vipodozi vipi ulikuwa unahitaji? Mimi naishi
nje ya Tanzania. Naweza kukutumia vipodozi vya bei nafuu na original
 
Kariakoo katika tembea yangu ndio sehemu ambayo wafanyabiashara wanajumua bidhaa na kwenda kuuza kwenye maduka yao ndani na nje ya dar sababu si wafanya biashara wote wanafuata mzigo China ,Dubai na nchi nyinginezo.Pia unavyoona maduka pale mlimani city wamiliki pia wanamaduka kariakoo ikiwemo jengo la China plaza sababu ni sehemu yenye mzunguko mkubwa wa biashara na bidhaa ni hizo hizo.

Kuhusu bidhaa fake siwezi semea sana sababu simu fake zilizimwa na pia kupenda bei za vitonga una laki mbili umeng'ang'ania iphone 6+.Kwa kuhitimisha kariakoo kuna dealers wakubwa wa simu,Tv na vifaa mbalimbali vya umeme ambavyo ni og kabisa naona sio vizuri kukashifu biashara za watu ambao wanalipa kodi.
 
Sijui niseme nini wakuu lakini kwanini Kariakoo ndo nyumbani mwa fake products?Mlikua mkisema humu nikapuuza nikaona mnaongea tu kweli nimeamini kariakoo asilimia kubwa ya Bidhaa ni feki

Simu feki kariakoo, mfano ukitaka Samsung feki Kariakoo, Tecno feki kariakoo, Huawei feki Kariakoo, Lg feki Kariakoo, simu feki nyingi ni kariakoo maduka ya simu feki ni mengi sana kuliko ya simu original cha muhimu ni umakini wakat unanunua ili uweze kupata kitu Og

Ukija kwenye Tv na redio ndo usipime feki feki tu Samsung flat tv feki kibao,StarX feki kariakoo,Lg feki kariakoo,Sony feki kariakoo,Panasonic feki kariakoo sikushauri kabisa kama huna uelewa lakini kama unajua kutofautisha og na feki basi nenda na najua sio wote wanaouza feki but wengi sana wana tv feki?

Vifaa vya umeme feki


Hadi nguo feki unanunua siku mbili ishachuja rangi na kupauka

Hadi mataulo ni feki tu nilinunua Taulo elfu kumi na mmoja nimeogea wiki tu limeanza kuchanika linachanika kama likaratasi vile na ukijikaushia linakuacha na manyusi nyusi yale nimeamua kulitia moto tu

Kwenye vipodozi ndo usiseme yaani ni fake zone ya vipodozi ni kariakoo kwa East Africa nzima yaani brothers and sisters siwashauri kabisa kama ni cosmetics kutegemea kariakoo kama huna umakini najua wapo wanaouza Og lakini ni wachache most cosmetics kariakoo ni feki Nilikua nimepanga kununua mizigo ya vipodozi nisafirishe mikoani lakini nimestop maana nimeishiwa na nguvu maana vipodozi feki ni vingi sana kiasi cha kuchoka kujua ni wapi walau wanauza Og,,,,,Labda wadau mnisaidie.Ndo maana wengi wanaonunua kariakoo cosmetics wakiuza wateja wanalalamika kumbe ndo sababu

Maoni yangu ya hili

Najua wengi wengi mnachukua bidhaa kariakoo,za jumla na rejareja aka machimbo, nadhani kuna haja ya kuambizana maduka wanayouza vitu original ili kuepuka watu wengi kuumizwa maana wengi wanaumia hususan wateja kwasababu ya vitu feki
1594584210561.png
 
Mwenye kujua hizi taulo zinapatikana sehemu gani hapa Dar kwa bei ya jumla anisaidie please. Pia na bei zinauzwaje?
 

Attachments

  • IMG-20200702-WA0003.jpg
    IMG-20200702-WA0003.jpg
    106 KB · Views: 13
Mimi sio mfuasi wa chama chochote ila nasema Tatizo la vitu feki ni serikali na TBS, kwakweli hakuna awamu yenye vitu feki kama awamu hii ya Tano. Na shida zote hizi za kuletewa vitu feki ni kiongozi wetu kutuita WANYONGE, WANYONGE ni watu ambao hawana uwezo, wamechoka, hohe hahe kwahiyo nilichogundua nikwamba asasi zote za serikali zinazohusika na ubora hasa TBS wameruhusu wananchi tuletewe vitu vya bei rahisi ambavyo ni feki.kariakoo limekuwa jalala la vitu feki, skuizi kuna TV hazina hata jina na TVS wanaruhusu kuingzwa nchini. Wanaokumbuka awamu ya nne nikweli tulikuwa na vitu feki lakini sio kwa extent hii tulonayo sasa katika hii awamu tano.

Ngoja niongelee MAVAZI hasa ya KIUME, kwa wale wapenzi wa kuvaa kama mnakumbuka kuna maduka ya nguo yako pale Big Bon na kituo cha mabasi ya mwananyamala kariakoo, awamu ya nne Yale maduka yalikuwa yanauza nguo Standar siwez Kusema Original(mana original wanavaa developed countries) ila kwa hadhi yetu ndo tunaita Orinal, coz nguo za kiume zilikuwa zinauzwa elfu22-30 kwa nguo za juu yaan Tshirts, form six na mashat na jeans tulkuwa tuna nunua kuanzia elfu25/30-60, boxa moja ilkuwa tuna nunua elfu7-10.Raba zilikuwa elfu 45-lakimoja, Moka ilkuwa zinanzia elfu90-120K.

Na bidhaa zote hizi zilikuwa zina ishi na wasanii wetu/celebrities wetu ndo walkuwa wakivaa bidhaa hizi. Na kwa kariakoo hayo ndo yalkuwa Maduka ya uhakika kwa nguo standard lakini pia ukienda kinondoni ilkuwa pale BOB kwa nyandu tozi, Roby one fashion na maduka yote ya kona ya mwananyamala.

Ukienda sinza kuanzia pale Mugabe kote mpaka madukani ilkuwa unapata nguo hizi standard halafu unaruka unaenda mpaka sinza ya ustawi wa jamii pale kwa Big Jahman pia alkuwa anauza bidhaa hizi standard unakuja TRA ya mwenge pale kuna Bon2shine ya B12 former mtangazaji wa Clouds FM kisha unaenda mpaka mwenge ambako asilimia kubwa ya maduka yote yalkuwa yanauza bidhaa standard na duka langu kwa kwa pale MWENGE ilikuwa pale kwa Roms duka lakwanza right after soko la vyakula kama unatokea huku TRA.

Wajanja wote wa mjini tulkuwa tunavaa tunapendeza na bei zilkuwa hizo. Ila toka tuitwe WANYONGE machinga wamejaa msimbazi yote mpaka kwenye mitaa maduka hayaonekani wanauza Tshirts elfu10-15 zimetengenezwa kwa materials cheap zinapauka haraka na zina joto mana sio cotton. boxa za mafungu, fungu la boxa3 elfu12 ambazo boxa hizi wiki mbili zishapauka, jeans za mpira skinny tight elfu15-20 ukiitia kwenye maji mara moja rangi yote inabaki huko jeans laini utafkiri KHANGA mtu akikuchapa fimbo inaingia moja kwa moja.wakat jeans ni nguo ngumu unafanyia kazi hata kwenye mazingira hatarishi(zamani tulkuwa tukienda shule tumejaladia jeans ndan).

Tunauziwa mashati elfu18 mashati hata hayaeleweki, shati unavaa unaenda nalo ofisin lakin na bodaboda au muuza maji mtaan kavaa hilohilo, cardet elfu20 kitambaa lainiiii afu zote zinafanana yaan sasaiv wote tunafanana. Yaan mtu una hela yako lakini unashindwa kuvaa nguo nzuri kwasababu maduka yote yanauza huu uchafu.halafu kuna wapumbavu wanashangilia mtaani eti "maisha yamekuwa marahisi" marahisi kwa kuuziwa vitu feki??UPUMBAVU mtupu.

Hakuna kitu kiliniacha hoi kama kuna siku nilinunua boxa duka moja hivi maeneo ya Lachaz, siku naitia mwilini ile Boxa, ile kuivuta vuta kama kuiweka vizuri hapohapo ikachanika nkabaki nashangaa na boxa nimeuziwa elfu5.Kumbe ni boxa za mafungu wao wanaziuza mojamoja elfu5.

Nkasema nchi hii mbona tumerudi sana nyuma!!maduka niliyo yataja huko juu yaamebaki machache ambayo bado yanaleta mzigo standard tena kwa baadhi ya nguo ila nguo kama boxa, soks jeans na mashati ni yaleyale feki.skuizi soks zinauzwa pea 3 kwa elfu10 soks ukiivaa maramoja tu imepauka na kutoa vinyuzinyuzi wakat awamu ya nne soks elfu5 unaivaa Mwaka mzima bila kuchuja wala kuisha.

Ndomana wajinga wasio na elimu kichwani wanasema mzee kaja kuleta heshima kwamba wote tunafanana, nikweli tunafanana mana sasaiv wanaume wote boxa zetu zinafanana na niza mafungu.Mtu una hela yako lakini unashindwa kupata shati la standard.

Skuizi kuna viatu vya elfu15 hapo mjini sinza.Dah nchi imerudi sana nyuma tumekuwa kama Burundi.mana Burundi huwezi tofautisha mfanyakazi wa serikalini/private sectors na mwananchi asie fanya kazi kwa mavazi au muonekano, wote wanafanana.mitumba na hizi nguo za elfu10 za kariakoo ndo mavazi yao.
Nakumbuka mkuu miaka ya 2012 kushuka chini mie nilikua nanunua viatu, jinsi, mashati dukani maeneo uliyotaja kariakoo ila kwa sasa hata nikienda naishia kuacha tu mana midosho kibao nimebaki kuvaa nguo za mtumba tu....

Yani ukinunua kitu leo ukirudi bada ya mwezi washachakachua
 
Usinunue TV made in china fake.usinunue TV made south africa fake usinunue TV made in egpty yaani misri ni fake. NUNUA. Tv made malaysia au made indonesia au org brand inapotoka kama made in japan au made in korea kwa TV zinazotengenezwa asia.sasa nenda kariakoo hawana ila kwa wauzaji wahindi. Utapata
Unadhan mfanyabiashara wa k.koo atashndwa kununua bidhaa fake afu akabandika lebo ya bidhaa OG? yan kikubwa n kuwa na utaalamu wa kutofautisha fake na og lakn ukisema uangalie eti made in malaysia ahahahah utakuta kabandka lebo za malaysia mpaka kwny mapapai
 
Tecno sio fake bali ni Original product yenye quality mbovu mno..

Fake ni product iliyozalishwa ili kuwa na mfanano na product fulani iliyojitengenezea umwamba tayari kwa kuwa ni bora..na Fake product ubora una kuwa-compromised..Ndo kuvaa Air Jordan za Tsh 40000 zilizofyatuliwa kwenye viwanda bubu vya hapo Guanzhou
Tekno zipo fake kanunue techno mliman city alaf kanunue na techno kariakoo ndo utaona tofaut
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom