KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimekuwa nikisoma thread nyingi za watu pamoja na zakwangu mpaka nafikia mahali nacheka peke yangu Pengine najiuliza nilikuwa nawazanini!!kuandika thread kama hii!!Uanakuta mtu kaweka thread inamambo inakubidi ucheke tu hadi watu wana kushangaa mtu unacheka nini!!Uwezi kuamini watu wakiingia humu hubadilika bila kujali wadhifa walionao kwenye jamii!!Na umri walionao!!Wake kwa waume!Baadae nikaja kugundua ukiwa JF nikama kazi ya Daladala!!Kwani Dereva wa Daladala bila kujali umri alionao anawezakufanya kitu ukashangaa alikuwa anawaza nini!!kumbe nmazingira yanakulazimu ubadilike kwavyovyote vile kwani kiachokulazimu ni mazingira!!.