Daud Bako
Senior Member
- May 19, 2014
- 144
- 24
Binti niliyemtegemea na kumuamini hata kumsifia mbele ya marafiki zangu, leo kaniumiza baada ya kumfumania na kumsikiliza kupitia dirishani akifurahia tendo la ndoa na rafiki yangu wa karibu sana.
Cha ajabu saivi saivi ananitumia msg akilalamika eti anaomba nimsamehe!!!!
DON'T TRUST A WOMAN & A FRIEND 100%
ushauri wenu wadau ni muhimu sana kwangu.....!
Cha ajabu saivi saivi ananitumia msg akilalamika eti anaomba nimsamehe!!!!
DON'T TRUST A WOMAN & A FRIEND 100%
ushauri wenu wadau ni muhimu sana kwangu.....!