Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Kweli CCM ni ileile na wana CCM ni walewale. Mkapa alimhonga Mramba Wizara ya fedha. Mwenzake kikwete alikuwa anahonga wilaya na mikoa sasa kama akiwa waziri magufuli alikuwa anahonga nyumba za Serikali je, akiwa rais atahonga nini?
Tafakari chukua hatua weka CCM mbali na watanzania.
Tafakari chukua hatua weka CCM mbali na watanzania.