Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Wadau,
Tunakumbushiana tu ambayo tulishayasema!
Tunaanza na 'wahenga' wetu makini....
"Kama CCM isiposikiliza wanachosema wananchi, na wanayemtaka, 'wao' [wafanya maamuzi ya CCM] wakajifungia na kuamua wenyewe, huku wakisema 'sisi ndio wenyewe', CCM itashindwa" - Mwl Nyerere
"Kama CCM ikidharau wanachotaka wananchi na wanayempenda, kama alivyosema Baba wa Taifa Mwl Nyerere, na wakatuletea jina la mgombea ambalo sio wananchi wanalipenda, Mwl Nyerere alisema CCM itashindwa, ila mimi nasema tena CCM itaanguka" - Kingunge Ngombale Mwiru
Simuungi Mkono Lowassa au CCM hata kwa (-0%) ila tuongee ukweli tu hapa!!
Swali: Je, hayo maono na maonyo yaliyotolewa na hawa wahenga wakuu, na wengine lukuki, ndio dalili za Kinachoenda kuikumba CCM na ndio ishara za kitakachoifika CCM ifikapo Oktoba? CCM inapona?
Tupitie maonyo mengine ktk uzi uliorushwa awali ktk link iliyopo chini ili tuzione ishara za Babeli kudondoka!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-huu-akubali-kwa-uchungu-2.html#post12827749
Tunakumbushiana tu ambayo tulishayasema!
Tunaanza na 'wahenga' wetu makini....
"Kama CCM isiposikiliza wanachosema wananchi, na wanayemtaka, 'wao' [wafanya maamuzi ya CCM] wakajifungia na kuamua wenyewe, huku wakisema 'sisi ndio wenyewe', CCM itashindwa" - Mwl Nyerere
"Kama CCM ikidharau wanachotaka wananchi na wanayempenda, kama alivyosema Baba wa Taifa Mwl Nyerere, na wakatuletea jina la mgombea ambalo sio wananchi wanalipenda, Mwl Nyerere alisema CCM itashindwa, ila mimi nasema tena CCM itaanguka" - Kingunge Ngombale Mwiru
Simuungi Mkono Lowassa au CCM hata kwa (-0%) ila tuongee ukweli tu hapa!!
Swali: Je, hayo maono na maonyo yaliyotolewa na hawa wahenga wakuu, na wengine lukuki, ndio dalili za Kinachoenda kuikumba CCM na ndio ishara za kitakachoifika CCM ifikapo Oktoba? CCM inapona?
Tupitie maonyo mengine ktk uzi uliorushwa awali ktk link iliyopo chini ili tuzione ishara za Babeli kudondoka!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-huu-akubali-kwa-uchungu-2.html#post12827749