Jana usiku nikiwa nimetulia ghetto baada ya miahangaiko na mihanjo ya siku nzima niliamua tafuta redio yenye kipindi kizuri walau cha kusindikizia usingizi niliokuwa nao..
Mara Paaap nakutana na ala za roho na kilikuwa kipindi cha wasikilizaji kupiga simu na kuchagua wimbo basi jamaa akapiga simu akaomba nyimbo ya harmonize sikuamini niliposikia yule demu anamwambia.
Aaaah nini sasa chagua nyimbo nyingine bana Jamaa kwenye simu nadhani hakuelewa akarudia tena naomba unipigie wimbo wa harmonise mara nikasikia tititiii Tiii simu ikakatwa.
Nikasema eboooo alishindwa hata kumpotezea kisaniii au akavunga na kupokea simu nyingine hii ina maana kuna marufuku ya kupiga ngoma za domo au dogo yeyote aliye chini ya somo.
Kilichonifurahisha zaidi baada ya dk kadhaa likawekwa tangazo la domo la pepsi nikasema kuudadeeeki hela nzuriiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara Paaap nakutana na ala za roho na kilikuwa kipindi cha wasikilizaji kupiga simu na kuchagua wimbo basi jamaa akapiga simu akaomba nyimbo ya harmonize sikuamini niliposikia yule demu anamwambia.
Aaaah nini sasa chagua nyimbo nyingine bana Jamaa kwenye simu nadhani hakuelewa akarudia tena naomba unipigie wimbo wa harmonise mara nikasikia tititiii Tiii simu ikakatwa.
Nikasema eboooo alishindwa hata kumpotezea kisaniii au akavunga na kupokea simu nyingine hii ina maana kuna marufuku ya kupiga ngoma za domo au dogo yeyote aliye chini ya somo.
Kilichonifurahisha zaidi baada ya dk kadhaa likawekwa tangazo la domo la pepsi nikasema kuudadeeeki hela nzuriiiii
Sent using Jamii Forums mobile app