Nimeambiwa tutaishi South Sudan baada ya ndoa

"Asavali" nimekukuta huku,jee unaliongeleaje tukio la mh Nape kutishiwa kwa mtutu wa bunduki leo?
Samahi mkuu Sky Eclat kwa kuchomekea hili langu maana huyu ni mwanaCCM nwenzangu na bahati nzuri tumeonana hapa ngoja tulonge kidogo....
Kwakweli nimesikitishwa sana, nimeandika post moja leo hapa, kama kuna kulindana CCM Nape ndiyo mtu wa kulindwa. Mzee Moses Nauye alikipigania sana chama pamoja na Profesa Mwandosya, Nape, Mwigulu na January ni vijana walioihudumia CCM ikiwa ICU daktari akiwa Kinana na Kikwete. Nape alikuwa mtu wa kuitwa Ikulu na kuyaongea na mkuu na kuyamaliza.
 
Habari za leo wapendwa,

Niliota na kuwaza siku nitakayosema 'I do', hayawi hayawi yamemkua, nimepata mchumba na ndoa ni baada ya Kwaresma. Tatizo ni kuwa huyu jamaa tumekutana Bongo akiwa anaishi Mbezi. Nilivyokuwa ninahesabu siku za kusogea kutoka huku kwetu Kwamtogole niende Mbezi.

Sasa bwana usiku wa jana, jamaa ananifahamisha kuwa amepata kazi South Sudan, ndoa ninaitamani lakini kwenda kuishi Sudan ni kitu ambacho sijawahi kukiwaza. Ninachance ya kughairi kabla sijasema 'I do'. Nikishakuwa mke sitakuwa na maamuzi tena.

Ushauri tafadhali.

Habari hii haiwezi kuwa ya kweli, South Sudan ni UN Level 3 emergency country...hivyo yeyote anayeenda kikazi South Sudan haruhusiwi kwenda na familia (mke/mume au mtoto/watoto).

Kama mumeo anenda South Sudan kikazi, atakuwa anaenda peke yake...lalamikia upweke, lakini sio hatari kwamba na wewe unatakiwa kwenda!
 
Mkuu afadhali uwe kwako, umetoka sokoni umepotea njia na hawa ndiyo inabidi uwaulize njia ya kurudi kwako.
Hahahahaaaa..........Kuna jamaa'ngu amewahi kuishi huko tulimtembelea mwaka 2013 kabla hawajachafua hali.

Kiukweli ni pagumu kuliko maelezo

Kama una maanisha kweli tafadhali usiende, bado tunakupenda sana.
 
Kwakweli nimesikitishwa sana, nimeandika post moja leo hapa, kama kuna kulindana CCM Nape ndiyo mtu wa kulindwa. Mzee Moses Nauye alikipigania sana chama pamoja na Profesa Mwandosya, Nape, Mwiguru na January ni vijana walioihudumia CCM ikiwa ICU daktari akiwa Kinana na Kikwete. Nape alikuwa mtu wa kuitwa Ikulu na kuyaongea na mkuu na kuyamaliza.
Bila kusahau mzee Mnauye alizikwa bila kichwa chake baada ya waasi kumkata kichwa enzi zile Yusufu Makamba akiwa mkuu wa mkoa na rafiki mkubwa wa Marahemu Mnauye.Ni CCM hii hii ndiyo iliyempeka nchi hizo,Nape kakipigania chama kwa nguvu zote,leo anazalilishwa hivi kweli?leo Nape ni wa kutishiwa bastola???
Tukubali makosa kwamba tulifanya kosa kubwa sana kumpa huyu 'mtukufu' nchi.
 
Habari za leo wapendwa,

Niliota na kuwaza siku nitakayosema 'I do', hayawi hayawi yamemkua, nimepata mchumba na ndoa ni baada ya Kwaresma. Tatizo ni kuwa huyu jamaa tumekutana Bongo akiwa anaishi Mbezi. Nilivyokuwa ninahesabu siku za kusogea kutoka huku kwetu Kwamtogole niende Mbezi.

Sasa bwana usiku wa jana, jamaa ananifahamisha kuwa amepata kazi South Sudan, ndoa ninaitamani lakini kwenda kuishi Sudan ni kitu ambacho sijawahi kukiwaza. Ninachance ya kughairi kabla sijasema 'I do'. Nikishakuwa mke sitakuwa na maamuzi tena.

Ushauri tafadhali.
Ni nchi ndio inakuogopesha kwenda kuishi huko.? Ila Kama ni kazi halali na mtaishi kwa halali hakuna shida dear. Kwa ushauri Wangu. Olewa tu dear
 
Habari za leo wapendwa,

Niliota na kuwaza siku nitakayosema 'I do', hayawi hayawi yamemkua, nimepata mchumba na ndoa ni baada ya Kwaresma. Tatizo ni kuwa huyu jamaa tumekutana Bongo akiwa anaishi Mbezi. Nilivyokuwa ninahesabu siku za kusogea kutoka huku kwetu Kwamtogole niende Mbezi.

Sasa bwana usiku wa jana, jamaa ananifahamisha kuwa amepata kazi South Sudan, ndoa ninaitamani lakini kwenda kuishi Sudan ni kitu ambacho sijawahi kukiwaza. Ninachance ya kughairi kabla sijasema 'I do'. Nikishakuwa mke sitakuwa na maamuzi tena.

Ushauri tafadhali.

Ila hali ya ukame na imeathiri sana South Sudan.

Lakini relief workers watakuwa wapo safi na wanaishi kwenye "safe zones", kila kitu kipo Ok.

Utaishi maisha ya upweke na wasiwasi pale anapokwenda miji ya hekaheka kama Juba, Unity State au Equatorias kwa shughuli zake yaani unakuwa upo ndani ya kambi ya mwajiri wake.

Naomba nikuulize suali, je mmekwishachumbiana au bado?

Kama mmekwishachumbiana basi yeye anaweza kwenda kwanza huko Juba kuangalia mazingira na baadae akarudi likizo au wewe ukamfuata kuangalia mazingira.

Baada ya hapo mtaamua muoane kabisa umfuate Juba au awe anakuja TZ kila likizo.

Ila si sahihi kuharakisha mambo kwa sasa mjipe muda na kujipanga, hata kama mmoja wenu yupo "desperate".
 
Ni mfanyakazi katika shirika ambalo lina ofisi Sudan. Nimekwisha kutana na wa-Sudan kadhaa pale ofisini kwao, kwakweli mbele yao mimi ni 'snow white' ingawa ndugu zangu huku Kwamtogole wananiita cheusi dawa.
Teh teh teh! . Ila kuna watu weusi ila kwa s.sudan na Kenya ni nomree.
 
Back
Top Bottom