Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

Status
Not open for further replies.
Bado huwa naamini kwamba binadamu hamiliki uhai wa wa mwingine , naaamini Allah akitaka utapona tutakutana hapa Insha Allah
 
Nowdays uhai na kifo is a choice,kunakipindi MUNGU(sio daktari) alimwambia mtu mmoja atakufa atengeneze mambo yake yule mtu akaenda mbele za MUNGU akakata rufaa, MUNGU akaamuongezea miaka 15 zaidi(isaya 38).Wewe MUNGU ajasema ila ni daktari,YESU ndugu anaponya ni kweli inawezekana uliombewa na mchungaji haujapona lakin nikuambie kitu anayeponya ni YESU sio mchungaji.unachoitaji ndugu yangu ni IMANI,ukiwa na imani na NENO la MUNGU unaweza ukapona ukiwa hapo hapo nyumbani chumbani kwako au ukienda kuombea lakini ukiwa umeweka imani yako kwa YESU.Anza kwa kumkiri YESU kama bwana na muokozi wa maisha yako then tafuta maandiko katika bibilia yanayozungumzia uponyaji yatafakari hayo maandiko usiku na mchana uku ukiyakiri kwa kinywa chako ,utapokea muujiza wako na utarud hapa jamii forum kutushuhudia.Miezi minne ni mingi sana umepewa kwa ajili ya kubadili hatima ya maisha yako.Natakuatia uponyaji katika jina la YESU.Anza na hili andiko warumi 8:11
 
........Watu wana matatizo mkuu inauma mno.

Wakati mimi na wewe wakati mwengine tukilalamika maisha magumu hela hatuna mwenzetu anahesabu siku na saa za kuishi duniani.toka jana niliposoma bandiko lake nahisi mpaka akili yangu ime-stuck nakuwa na hisia kama namuona anavyoteseka.

Mungu tu anajua nini cha kufanya na mja wake sio uwezo wetu.
 
Niliambiwa nikipatiwa good medication naweza kuishi hadi miezi nane. Lakini matibabu ni gharama kubwa na sihitaji msaada niko Kwenye critical stage na napata maumivu makali sana. Nahisi ni vema nife nipumzike.
Pole sana ndugu, habari hii inasikitisha sana. Utakufa pale muda wako wa kufa ukifika. Tuchukulie utakufa baada ya miezi minne, tambua kuwa kuna uwezekano mkubwa sisi tunaochangia mada yako mmoja au wawili au zaidi akafariki akafariki kabla ya kipindi hicho.
Neno langu la mwisho kwako huko uwendako kuna mawili pepo na moto. Nakuomba kuwa muislamu kwa kuufuata kikamilifu utasalimika na moto, vinginevyo moto huo unakusubiri.
 
kuna majamaa walimwambia mugabe atakufa baada ya miezi mitatu kipindi kilee nashangaa miaka kadhaa imepita jamaa bado anadundika
 
Pole sana ndugu, habari hii inasikitisha sana. Utakufa pale muda wako wa kufa ukifika. Tuchukulie utakufa baada ya miezi minne, tambua kuwa kuna uwezekano mkubwa sisi tunaochangia mada yako mmoja au wawili au zaidi akafariki akafariki kabla ya kipindi hicho.
Neno langu la mwisho kwako huko uwendako kuna mawili pepo na moto. Nakuomba kuwa muislamu kwa kuufuata kikamilifu utasalimika na moto, vinginevyo moto huo unakusubiri.
hakuna moto wewe nani kakuambia soma vitabu kwa umakiini
 
Ndugu folk, God is the one who holds our future, your future is in Him and He knows better, keep your faith high! Naamini tutaendelea kuwa hapa pamoja.
 
Nowdays uhai na kifo is a choice,kunakipindi MUNGU(sio daktari) alimwambia mtu mmoja atakufa atengeneze mambo yake yule mtu akaenda mbele za MUNGU akakata rufaa, MUNGU akaamuongezea miaka 15 zaidi(isaya 38).Wewe MUNGU ajasema ila ni daktari,YESU ndugu anaponya ni kweli inawezekana uliombewa na mchungaji haujapona lakin nikuambie kitu anayeponya ni YESU sio mchungaji.unachoitaji ndugu yangu ni IMANI,ukiwa na imani na NENO la MUNGU unaweza ukapona ukiwa hapo hapo nyumbani chumbani kwako au ukienda kuombea lakini ukiwa umeweka imani yako kwa YESU.Anza kwa kumkiri YESU kama bwana na muokozi wa maisha yako then tafuta maandiko katika bibilia yanayozungumzia uponyaji yatafakari hayo maandiko usiku na mchana uku ukiyakiri kwa kinywa chako ,utapokea muujiza wako na utarud hapa jamii forum kutushuhudia.Miezi minne ni mingi sana umepewa kwa ajili ya kubadili hatima ya maisha yako.Natakuatia uponyaji katika jina la YESU.Anza na hili andiko warumi 8:11
Yesu anatibu saratani siku hizi!!?..huwa mnaumwa akili!!?..wenzako congo huko wagonjwa wa ebola waliwatoa hospitali wakaenda kuwaombea,wawili wamededi ikabidi mmoja wamrudishe hospitali,ndugu ngonjwa kula matopetope kwa wingi huku ukifanya toba,usiwaze sana kifo
 
Pole sana Mkuu kuna magonjwa yanatia simanzi unakaa na marehemu akiwa angali hai.
mara ya mwisho ilikuwa sio kifo ilikuwa ni zaidi ya kifo maana nimetumwa mahali sehemu ya nauli kama mia tano hivi ila nilitembea kwa mguu kwenda na kurudi roho ilikataa kabisa kupanda gari nafika home nakuta watu hawako nakuta madogo wana lia tu. aisee nilihisi dunia imenitenga. nilihisi kila mtu mbaya
 
Napata hofu sana kwa kasi ya uchangiaji wa huu Uzi maana ulizimika muda mrefu isijekuwa ndo tunamuaga mshkaji maana kwann kasi imeongezeka hv.Any Mungu mwenyezi ndiye mpangaji wa yote na yote yanayotokea ni kwa mapenzi yake Allah pekee.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom