Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

hicho kipengele cha 'updates' kimefanya nisiandike lolote bali kukutakia kila la heri maana naona umejitoa mwanga

love is blind indeed, all the best!
 
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Hataki uonekane kama dune la siafu

IMG-20210429-WA0010.jpg
 
Tuma picha yake tumuone unaeza kukuta ndo waale saidia Jamii
ili unenepe kula sana mashudu kijana ...................
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
 
Weka picha kwanza, tuone unahitaji kiasi gani.... pengine skeleton zinamtisha anahofia afya yako usije kumfia!

Mke alipaswa akupikie hivyo vinono ule unenepeane, ila jiridhishe hana nia OVU nawe.
 
Ukinenepa atakuambia kapunguze unene, kama mtu anakupenda hawezi kukupangia namna ya jinsi unavyoonekana, fika mahali utoke katika hilo gereza la milele unalotaka kuingia kwa mihemko ya mapenzi, labda hujui tu watu huact namna tofauti tofaut kwa watu tofauti, unaweza kuta huyo huyo ana mtu wake mwembamba kuliko wewe na yupo nae vizuri na hajamwambia hayo mambo, mapenzi si gharama.
 
Ilichukua mda gn kugain weight?
Ni kula tu ni kurelax. Mwaka jana nadhani July nilichangia thread flani kuwa mimi nina mwili hauna shukrani, ila napoandika hapa, nimetoka kuwa na 58 kg now nina 71 nimeanza kuwa na ka kitambi.
Shida nachoka haraka
Kitambi sikipendi
Jambo lililonifanya ninenepe ni kula, sipitishi mlo hata mmoja.
 
Ilichukua mda gn kugain weight?
Nilianza ona mabadiliko ndani ya miezi miwili. Ilikuwa napitisha naweza kupata breakfast nisile mchana nije kula usiku napo chakula cha ovyo.
Sasa kuna mazingira yamenifanya niishi na family, yani mwanangu, mdogo wangu na mdada wa kazi. Hii imenifanya niwe nakula milo yote mitatu na milo mingine in between.
Kila anayeniona anashangaa nimewezaje kugain weight haraka. And by the way kula ni kama mazoezi, kama wewe unakula chakula kidogo, ukianza kula portion inaenda inaongezeka day by day.😂
So mpaka sasa ni kama miez 6 hivi lakini mpaka nafika 67 kg ilinichukua kama miezi 3. Now nafanya fanya vimazoezi sitaki nije kuwa libonge.
Ila nimetoka kuvaa suruali size 32 navaa 34 na sifungi mkanda halidondoki.
 
Piga chips yai isikauke sana yaani rojorojo asubuhi mchana na jioni na pepsi baridi kila mlo. Pia gonga kitimoto roast yaani usibakishe hata mchuzi kunywa wote achana na dona, sijui mboga za majani zitakuchelewesha.
 
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.

Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.

Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi

Nawasilisha

UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.

Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
.. br bora wewe Mimi niliambiwa nitafute six packs
 
Back
Top Bottom