IamJackReacher
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 299
- 395
hicho kipengele cha 'updates' kimefanya nisiandike lolote bali kukutakia kila la heri maana naona umejitoa mwanga
love is blind indeed, all the best!
love is blind indeed, all the best!
Nenda kale ile mishikaki ya 100 pale msamvu moro KWA mwezi mmoja
Hakika utakuja kunishukuru
Hataki uonekane kama dune la siafuKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lkn vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee
Ndio maana kuwaelewa ke yahitaji IQ kubwaUbaya ni kwamba atatokea jamaa mwembamba kama yeye tu na atakuwa anatafuna tunda kirahisi tu
Nimecheka kikuma yani 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
Ni kula tu ni kurelax. Mwaka jana nadhani July nilichangia thread flani kuwa mimi nina mwili hauna shukrani, ila napoandika hapa, nimetoka kuwa na 58 kg now nina 71 nimeanza kuwa na ka kitambi.
Shida nachoka haraka
Kitambi sikipendi
Jambo lililonifanya ninenepe ni kula, sipitishi mlo hata mmoja.
Njoo PM nikuelekeze na nauza virutubisho vya kugain haraka sana,2 weeks na ni salama sabbu anatumia mpk mtoto kuanzia miaka 4.
Nilianza ona mabadiliko ndani ya miezi miwili. Ilikuwa napitisha naweza kupata breakfast nisile mchana nije kula usiku napo chakula cha ovyo.Ilichukua mda gn kugain weight?
.. br bora wewe Mimi niliambiwa nitafute six packsKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
Vitambi vya nini vile......
Jamani kakitambi kaendane na mwili aisee.Asisahau na bia mbili usiku kabla ya kulala..mwezi tu katoka kitambi..atarudi humu kuomba namna ya kupunguza mwili.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app