Nimeambiwa nina damu nyingi je ugonjwa huu unaweza kuisha? Madhara yake yapoje mbeleni?

evonik

JF-Expert Member
Jun 12, 2015
3,998
5,130
Habari zenu wakuu,

Nilikuwa nasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na mwili kuuma, ikabidi niende hospital kupata vipimo, majibu yakaja yanaonesha Nina damu nyingi ambapo ni 18 gm/dm (kama sijakosea vipimo)

Daktari alinambia kiwango cha kawaida ni 16 kwa me, na ke ni 14, hivyo alinishauri niwe natoa/kuchangia damu na pia akanisihi nisile sana mboga za majani na matunda kwa wingi, kwa sababu tayari nina damu ya kutosha, ni kwel nilikuwa natumia mboga za majan na matunda kwa wingi hivyo kanambia nipunguze badala yake ninywe maji ya kutosha.

Amenipa dawa nazitumia,je huu ugonjwa una weza Kwisha kwa kufanyaje na je madhara yke yapoje mbelen?
 
Endelea kula mboga za majani kwa wingi halafu kila baada ya miezi mitatu unaenda kuchangia damu
 
Ndugu kuchangia damu NI Jambo jema kabisa Ila kwahali uliyonayo kutoa damu itamlaximisha mwili wako kuzalisha damu Zaid ya hapo 18 ulipo NI vema ufate taratibu zingine za kupunguza damu Kama inshu ya kula Yan unaeza kula asubuh na mchana au mlo mmoja Kama utaweza, mie pia nimepima juz wakakuta 17.4 kwenye kutoa walinisii Sana naweza zalisha tatizo lingine kubwa hvyo hapa najaribu kupunguza kula tuu Mana hamna jinsi Ile Hali inajitokeza wakati fulan na kupotea Yan unahis ndo unaenda Kule tulikiambiwa lazima tutaenda hata iweje.

Pole jamaa hope tunapambana site kila Hali kushusha hii damu
 
Ndugu kuchangia damu NI Jambo jema kabisa Ila kwahali uliyonayo kutoa damu itamlaximisha mwili wako kuzalisha damu Zaid ya hapo 18 ulipo NI vema ufate taratibu zingine za kupunguza damu Kama inshu ya kula Yan unaeza kula asubuh na mchana au mlo mmoja Kama utaweza, mie pia nimepima juz wakakuta 17.4 kwenye kutoa walinisii Sana naweza zalisha tatizo lingine kubwa hvyo hapa najaribu kupunguza kula tuu Mana hamna jinsi Ile Hali inajitokeza wakati fulan na kupotea Yan unahis ndo unaenda Kule tulikiambiwa lazima tutaenda hata iweje.

Pole jamaa hope tunapambana site kila Hali kushusha hii damu
Sawa hata hivyo alinisihi nipunguze kula kula ovyo especially mbiga za majan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom