evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,998
- 5,130
Habari zenu wakuu,
Nilikuwa nasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na mwili kuuma, ikabidi niende hospital kupata vipimo, majibu yakaja yanaonesha Nina damu nyingi ambapo ni 18 gm/dm (kama sijakosea vipimo)
Daktari alinambia kiwango cha kawaida ni 16 kwa me, na ke ni 14, hivyo alinishauri niwe natoa/kuchangia damu na pia akanisihi nisile sana mboga za majani na matunda kwa wingi, kwa sababu tayari nina damu ya kutosha, ni kwel nilikuwa natumia mboga za majan na matunda kwa wingi hivyo kanambia nipunguze badala yake ninywe maji ya kutosha.
Amenipa dawa nazitumia,je huu ugonjwa una weza Kwisha kwa kufanyaje na je madhara yke yapoje mbelen?
Nilikuwa nasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na mwili kuuma, ikabidi niende hospital kupata vipimo, majibu yakaja yanaonesha Nina damu nyingi ambapo ni 18 gm/dm (kama sijakosea vipimo)
Daktari alinambia kiwango cha kawaida ni 16 kwa me, na ke ni 14, hivyo alinishauri niwe natoa/kuchangia damu na pia akanisihi nisile sana mboga za majani na matunda kwa wingi, kwa sababu tayari nina damu ya kutosha, ni kwel nilikuwa natumia mboga za majan na matunda kwa wingi hivyo kanambia nipunguze badala yake ninywe maji ya kutosha.
Amenipa dawa nazitumia,je huu ugonjwa una weza Kwisha kwa kufanyaje na je madhara yke yapoje mbelen?