Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Wee pitia tu kwenye upokeaji ndege ukirudi unafika kwenye flyover ya Mfugale unakata kulia kama waenda kwenye daraja letu jipya la Kigamboni huyooo hadi kwa Mchina ukawaone NkanaKuna kiongozi wa chama kimoja (sikitaji kuepusha msuguano) amepita mitaani kwetu anahamasisha kwenda Uwanja wa Ndege hapa Dar kupokea Ndege Airbus na kasisitiza watu wasile Nyumbani kuna ubwabwa wa bure Kwa wote. Jee hii yaweza kuwa kweli maana Kwa hali ilivyo ngumu kwa waTz umati waweza kuwa mkubwa na wengi wakaambulia patupu.
Ila mshangao wangu isisitizwa kama una shati au kilemba cha KIJANI basi uvae ili upewe kipa umbele.
Ila mie naenda Taifa kumng'oa Nkana
Tumeweza kununua mijidege mikubwa mikubwa tushindwe kuwalisha ubwabwa watu elfu kadhaa! Kwani shingapi banaa?