Maujohnsimba
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 243
- 222
Ana haki ya kulalamika huyo. 10,000 kubwa sana kwa matumizi yake..Mita yangu inameza sana umeme. Huwa natumia unit 120 kwa mwezi. Nina mpangaji mmoja lakini huwa anatoa sh 10000 na mi huwa natumia sh 30000. ila cha kushangaza, mpangaji hulalamika. Yeye ana tv na taa 2, mimi nina tv, friji na pasi, taa4 za ndani na taa4 za nje (hizi za nje naamini naamini zinatusaidia sote)
Anachonishangaza, akitoka kwenda sehem yoyote, hata kama ni siku nzima tv huiacha inafanya kazi. Nadhani humaanisha hela yake ya umeme itumike vizruri kitu ambacho mi sioni kama kina logic na nilishamwambia mrs asiwaulize chochote.
Kwa upande wako, sio sahihi, hiyo fedha ni kubwa mno aisee
Yan tv na taa mbili zimalize umeme wa elf kumi kwa mwezi ni ukichaa.
Kwakuwa wewe ni mwenye nyumba mfungie kimita chake uone kama atalalamika..atalipia kutokana na matumizi yake..
Tena utajukuta wewe unalipa paka 35 kwa mwezi ye anajazia kaki.