Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 8,987
- 12,444
Sisi huku tuko wapangaji wa4 na kila mmoja anatoa 30 kwahiyo kwa mwezi ni 120,000 ni shiiida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kwa15k/month kwa hizo appliances ulizonazo unatudanganya Kiongozi. Angalia hapa.. 15k=14units. Ukichukua 14units/30days=0.46units/day. Matumizi ambayo hayawezekani hata ufanyaje.Pole Sana mkuu. Hapo utapigwa Hadi uchakae. Fanya namna utafte separate meter ufunge.
Mimi Nina jagi la umeme nalitumia kila siku asubuhi na sometimes jioni, Nina friji, flat screen (anayokutishia kuwa unakula umeme), rice cooker na pressure cooker za umeme Ila kwa mwezi haizidi 15,000. Alafu flat screens nyingi zimetengenezwa katika mfumo ambao inakuwa eco friendly na hivyo kuwa na very minimal Power consumption.
Jirani yako sio mtu mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiishie kushukuru tu.. Muambie kabisa au unamuogopa kwakuwa mchepuko wa mwenye nyumba.. Utaumia mkuu..zungumza nae kama hamuelewani mwambie mwenye nyumba akufungie mita yako.Nashukuru ndugu ndiyo maana nimeshtuka!
Mkuu nashkuru sana kwa maelezo yako. Yapo very clear na nimeelewa kwa kadri nilivyohitaji.Ndugu yangu Analyse, hiyo separator meter(SUB METER) km umepanga chumba kimoja unamuita fundi anangalia waya zinazoingiza umeme kwenye chumba chako ndizo hizo anaziconnet na hiyo sub meter, km umepanga upande fundu atafanya hivyo kwa waya zinazo ingiza umeme kwako, kazi kubwa ya sub meter ni kusoma matumizi yako tu kwa unit, unweza kujua kwa siku unatumia unit ngapi au kwa mwezi, unanua umeme labda wa elfu 10 unit 28 ww unaziweka km kawaida kwenye luku, kazi yako ni kuangalia hicho kisub meter chako mpk kisome hizo unit 28 hapo ndipo utajua umeme ulionunua umeisha, km kuna sehem haujaelewa nifamishe nikueleweshe
(sub meter)View attachment 1459573
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ww kilaza
Mkuu 15k unapata 14units? Au ni typing error? Huo utakuwa mkoa gani wanatoa hizo 14units, kwa hapa Dar umeme wa 10k ni 28unit na umeme 5k ni 14unit, jumla umeme wa 15k unapata 42unit.Aisee kwa15k/month kwa hizo appliances ulizonazo unatudanganya Kiongozi. Angalia hapa.. 15k=14units. Ukichukua 14units/30days=0.46units/day. Matumizi ambayo hayawezekani hata ufanyaje.
Kanunue separate mita itakusomea units unazotumia mwezi mzima zidisha na bei ya tanesco kazi iishie hapo.Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
Nilishawahi kuishi na mpangaji wa namna hiyo, mie namtumia hela ya umeme yeye ya kwake hanunui, baada ya wiki mbili anamwagiza shem kuwa umeme umekata, niliporejea na kuchunguza kumbe hata ile niliyokuwa nikitoa alikuwa hanunui yote, baadaye mwenye nyumba alimchoka na kumtimua kwenye nyumba yake.Yaani watu 2 ndio mtumie umeme wa 60? Mna kiwanda au
Huyo atakuwa labda mchepuko wa mwenye nyumba anataka apate kitonga toka kwako
Sifa ya nyumba ya kupanga, kila mpangaji na mita yake. Labda zile za uswazi za kizamani sana.Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
I'M Sorry Mkuu. Nimekosea kweli hiyo hesabu imepigwa kwa units za thamani ya TZS 5K. Please be guided accordingly..Mkuu 15k unapata 14units? Au ni typing error? Huo utakuwa mkoa gani wanatoa hizo 14units, kwa hapa Dar umeme wa 10k ni 28unit na umeme 5k ni 14unit, jumla umeme wa 15k unapata 42unit.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitumieni namba zenu za simu niwawekee hela kwenye akaunti zenu. Elfu 60 hela kidogo sana hamhitaji kukaa mnalia lia hadi mnafikia kutoa matangazo kwenye mitandao ya jamiiNimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
babu,hv hako ka picha kwenye avatar yako ni kajitu gani??Umeliwa hapo shtuka, kwa mwezi matumizi yako hayazidi 5000/=
Kwa hizo appliances ulizonazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jagi la umeme halili umeme,kwani interval ya kutumia Ni dakika tano nyingi,hata Kama Ni watt 500,bado sio tatizo,Hilo jagi la umeme pia ni kwikwi mzee..japo umeme wa elfu 60 kwa watu wawili bado ni kisanga aisee
Mita yangu inameza sana umeme. Huwa natumia unit 120 kwa mwezi. Nina mpangaji mmoja lakini huwa anatoa sh 10000 na mi huwa natumia sh 30000. ila cha kushangaza, mpangaji hulalamika. Yeye ana tv na taa 2, mimi nina tv, friji na pasi, taa4 za ndani na taa4 za nje (hizi za nje naamini naamini zinatusaidia sote)Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
Hata kama itakuwa inawaka saa 24 bila kuzimwa inategemea na power yake (W)Jagi la umeme halili umeme,kwani interval ya kutumia Ni dakika tano nyingi,hata Kama Ni watt 500,bado sio tatizo,
Tv kula unit 2 labda I we inawaka masaa 24 bill kuzimwa