Ndugu wadau wenzangu wa jukwaa kwa takribani miaka 22 niliyo nayo nimekuwa najua kuwa ni baba yangu lakini hivi karibuni mama yangu alinitobolea kwamba huyo siyo my biological father ni kama mlezi wangu tu. kwa kweli sielewi hata nianzie wapi nahisi kuvurugwa. Naombeni ushauri wenu wana jamvi