King_Villa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 574
- 378
- Thread starter
- #41
Ni watu gani haoWalokole wa kuunga unga nao wanataitiwaga
na hayo makitu
Ni watu gani haoWalokole wa kuunga unga nao wanataitiwaga
na hayo makitu
Haha jamaa umenichekeshaKiwanja ushanunua kaa utulie.kama unaratiba ya kuanza kujenga endelea.
Kuhusu majini si umeambiwa yatakuja subiri yaje.
Au ukijenga Nyumba ukakuta haipo ndo utajua kuwa majini yapo kweli.
Ukisha fahamu leta mada hapa wamo wataalamu wengi humu ndani utapata majibu ya nini kifanyike.
Kitimoto.... Hahatengeneza mabanda matatu fuga NGURUWE kaka kwa mwaka mzima.
Halafu subiri kitakachotokea!
Mkuu wangu, fanya hiviiWakuu heshima kwenu.
Katika harakati za kimaisha nilipata kaeneo maeneo ya CHANIKA sehemu inaitwa ZINGIZIWA .
Nilipelekwa mara ya kwanza na nikaoneshwa kuwa eeneo liko safi kabisa na ni eneo kubwa linaonesha vyanzo vya maji vipo karibu. Pia linafikika kirahisi na nikaenda kwenye mamlaka ya kiserikari nikaoneshwa Ramani kuwa haliko kwenye mipango ya serikari.
Na mtu aliyenitaftia hapo alinihakikishia hilo ila ilinibidi nichunguze mimi kama mimi.
Baada ya kuona eneo liko safi nikaanza mchakato wa malipo kwa kufuata sheria zote.
Sasa juzi nilipo kwenda kulitembelea nikamwona mtu mwenye asili ya pwani (mzaramo, mmakonde) akinifuata na kuniomba aongee na mimi kidogo. Basi bila hiana nikamruhusu.
Alinipa historia ndefu juu ya hilo eneo nikisema niandike ntawachosha. Ila kwa ufupi tu alisema hilo ni eneo ambalo lina wenyewe ati sio langu pamoja na kwamba nalimiliki watakuja kunitfuta siku moja.
Na alidai kuna watu wanakuja maeneo ya jirani kila mwaka kucheza maeneo hayo.
Na kila mwaka hapo tunaokota maiti moja mwisho wa mwaka huwa haijulikani kwanini inakuwa eneo lile na hata wakiitoa hiyo maiti huwa inarudi hapo mpaka baada ya siku saba inapotea yenyewe .Na aliniambia kuwa kama mi ni mzito basi nikae ama la niondoke tu.
Sasa inaonekana pana nguvu za giza pale mahali
.ipi njia bora ya kuepuka hilo tatizo...?
Nafikiria au yule jamaa ananidanganya ni uoga wake tu mbona kwa pembeni kuna watu wanaishi vizuri tu.?
Kwasababu eneo ni zuri sana hasa kwa watoto wangu miaka ijayo.
Au na mimi niliuze kwa mtu mwingine...
Yani nafikiria mengi hadi nakosa usingizi na pesa nimeshatoa kubwa tu.
Kuna mliokutana na shida hii mlifanyaje?
AISEE!Hao majini wananyaraka halali za kumiliki hapo? Kama wanazo nendeni mahakamani mkamalizane huko.
Yaani ukiwaza kitu lazima kikutokee duu...Aliwazalo mpumbavu ndilo humtokea!
Ebu achana na hizo imani za ajabu ajabu,kaendeleze kiwanja chako.
We ni mtu mlokoleUkihitaji wakokole nitaarifu waje wayachome moto hayo majini
Kumbe haupo serious? Wewe hujui walokole wanapatikana wap? Anyway nilikua nakupa tu ushauri unaeza kuuchukua au kuachaHawa Ni watu gani. Ndio wanasali kanisa gani Tanzania? Nielekezwe inaelekea ni watu hatari sana
Nina swali kwako.... Umekwenda shule?Wakuu heshima kwenu.
Katika harakati za kimaisha nilipata kaeneo maeneo ya CHANIKA sehemu inaitwa ZINGIZIWA .
Nilipelekwa mara ya kwanza na nikaoneshwa kuwa eeneo liko safi kabisa na ni eneo kubwa linaonesha vyanzo vya maji vipo karibu. Pia linafikika kirahisi na nikaenda kwenye mamlaka ya kiserikari nikaoneshwa Ramani kuwa haliko kwenye mipango ya serikari.
Na mtu aliyenitaftia hapo alinihakikishia hilo ila ilinibidi nichunguze mimi kama mimi.
Baada ya kuona eneo liko safi nikaanza mchakato wa malipo kwa kufuata sheria zote.
Sasa juzi nilipo kwenda kulitembelea nikamwona mtu mwenye asili ya pwani (mzaramo, mmakonde) akinifuata na kuniomba aongee na mimi kidogo. Basi bila hiana nikamruhusu.
Alinipa historia ndefu juu ya hilo eneo nikisema niandike ntawachosha. Ila kwa ufupi tu alisema hilo ni eneo ambalo lina wenyewe ati sio langu pamoja na kwamba nalimiliki watakuja kunitfuta siku moja.
Na alidai kuna watu wanakuja maeneo ya jirani kila mwaka kucheza maeneo hayo.
Na kila mwaka hapo tunaokota maiti moja mwisho wa mwaka huwa haijulikani kwanini inakuwa eneo lile na hata wakiitoa hiyo maiti huwa inarudi hapo mpaka baada ya siku saba inapotea yenyewe .Na aliniambia kuwa kama mi ni mzito basi nikae ama la niondoke tu.
Sasa inaonekana pana nguvu za giza pale mahali
.ipi njia bora ya kuepuka hilo tatizo...?
Nafikiria au yule jamaa ananidanganya ni uoga wake tu mbona kwa pembeni kuna watu wanaishi vizuri tu.?
Kwasababu eneo ni zuri sana hasa kwa watoto wangu miaka ijayo.
Au na mimi niliuze kwa mtu mwingine...
Yani nafikiria mengi hadi nakosa usingizi na pesa nimeshatoa kubwa tu.
Kuna mliokutana na shida hii mlifanyaje?
Hili jibu lako la ki babe balaaa linakalibia kufunga huu mjadala,,Kiwanja ushanunua kaa utulie.kama unaratiba ya kuanza kujenga endelea.
Kuhusu majini si umeambiwa yatakuja subiri yaje.
Au ukijenga Nyumba ukakuta haipo ndo utajua kuwa majini yapo kweli.
Ukisha fahamu leta mada hapa wamo wataalamu wengi humu ndani utapata majibu ya nini kifanyike.