manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Husika na kichwa cha habari hapo juu, siku ya tar 29/12/2013 kutakuwa na harambee kwenye kanisa moja la K.K.K.T, Mchungaji pamoja na wazee wa kanisa wamefika kwangu kuniomba niwe mgeni rasm kwa siku hiyo ambapo 27milion zinatarajiwa kukusanywa.
Shughul hii kwa upande wangu imegeuka kuwa mzigo mkubwa kwani sina uzoefu wa shughul hii na kipato changu nikijilinganisha na waumin wenzangu pale usharikan mimi si kitu kwan kuna watu wenye pesa nying sana na ninajiuliza kwanini hawakufuatwa wao na ikawa mimi mwenye kipato cha kudunduliza?
Tumejadili na wife kwa kirefu na tukaamua kukubali ombi hilo.
Je kuna yeyote mwenye uzoefu na jambo hili ama alishawai kuwa katika nafasi hiyo hasa kwenye harambee za kanisa ili aweze toa ushauri wowote wa jinsi gan nitaweza kufanya kukamilisha jambo hili siku hiyo.
BARIKIWA.
Shughul hii kwa upande wangu imegeuka kuwa mzigo mkubwa kwani sina uzoefu wa shughul hii na kipato changu nikijilinganisha na waumin wenzangu pale usharikan mimi si kitu kwan kuna watu wenye pesa nying sana na ninajiuliza kwanini hawakufuatwa wao na ikawa mimi mwenye kipato cha kudunduliza?
Tumejadili na wife kwa kirefu na tukaamua kukubali ombi hilo.
Je kuna yeyote mwenye uzoefu na jambo hili ama alishawai kuwa katika nafasi hiyo hasa kwenye harambee za kanisa ili aweze toa ushauri wowote wa jinsi gan nitaweza kufanya kukamilisha jambo hili siku hiyo.
BARIKIWA.