kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Leo nimepata mwaliko kwa njia ya mitandao hawa wanajihusisha na biashara za alovera Nimeulizwa nipo tayari.?
Kabla sijasema naomba mwenye uelewa na hawa jamaa nisije ingia mkenge..
Sent using Jamii Forums mobile app[/URL
Kabla sijasema naomba mwenye uelewa na hawa jamaa nisije ingia mkenge..
Sent using Jamii Forums mobile app[/URL