huku kwetu
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 145
- 194
- Thread starter
- #181
Nimeandika lini tumeoana hapo?toka 2016 ndio mna mtoto mmoja ana mwaka?
x wake atakuwa anao wawili dabo
Nimeandika lini tumeoana hapo?toka 2016 ndio mna mtoto mmoja ana mwaka?
x wake atakuwa anao wawili dabo
Nyege sio tatizo ni kawaida kuwa nazo wala huitaji ushauri unahitaji duduHabari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
Jmn , mm saiz tulisha sameheana na yule jamaa tukaanza upya, tukaona, saizi tuna mtt ana mwaka.
Tuheshimiane mkuu,Alirudisha majeshi...
Hongera mkuu..
Mheshimu mmeo asiondoke tena.