Iyo sentensi ya mwisho huwa hayadumu.....Njoo kwangu tuanzishe maisha nipo single miezi 4 . Napenda sana mapenzi ya mbali nakuwa freee
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.
Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.
kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.
nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.
kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
Tafuta kile kinaitwa Sabuni ya roho, Wewe ndio utakuwa ukiwaacha na sio kuachwa. Mifano hai mingi unayo..nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.
Hata mimi namuwaza hivyo hivyo halafu anakunywa sana bia na ana kitambi cha mchemshommh we Demiss nahisi sitakuweza. huwa nakujuchukulia kama danga fulani hivi. yaan tayari nimejijengea fikra kua ww ni jimama jeupe unavaa vikuku mguuni. nahisi sitakuweza
Demiss enijokugwata echirogi!!!Njoo kwangu tuanzishe maisha nipo single miezi 4 . Napenda sana mapenzi ya mbali nakuwa freee
Piga chini fwalaa huyooBlaza pole sana.
Na mimi hapa nipo katika hatua za kutalikiana. Long distance relationship ni next to impossible, good thing ni kuwa I know a lot of shit ambazo amekuwa akifanya na sijawahi kumwambia. nimevumilia but recently naona anachukulia advantage kwa kunilaumu kwa kila jambo kiasi cha kutoa lugha za matusi. Nimekuwa nakaa kimya na kumsikiliza only kujifunza zaidi namna anasema uongo, huwezi kuamini pattern ya mtu mwongo kudanganya inafanana, nahisi kwa sababu amekuwa anaamini sijui chochote ndio maana amekuwa na sauti na matamko yanayokaribiana hata anavyochomoka ktk hayo mazungumzo.
Hahahaha!!! Laiti kama angalijua, a good gambler never shows his cards
Piga chini fwalaa huyoo