ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 3,976
- 6,152
Pole chiefHata mimi siku ya nne,nimepgwa chini niliandik uzi wangu wa kuachwa uko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole chiefHata mimi siku ya nne,nimepgwa chini niliandik uzi wangu wa kuachwa uko
OlewaHabari wana JF
Hapa nimebakia njia panda muda huu leo baada ya kumpigia mpenzi wangu simu! Ambaye tulipendana saaana, siku za nyuma hapo tulikosana lakini tukapatana tena maisha yakasonga leo hii nimempigia simu ananijibu majibu ya mkato sana. Nikituma sms anajibu kwa mikato nikimuulza shida nini? Anasema hakuna mpaka nilipo mbona saaana akatamuka tu neno moja " naomba uniache " Nikamuulza kivipi anasema tuu nimuache hanipendi.
Tena nashindwa kumwelewa shida nini! Hapa nilipo na hasira natamani hata nikamuue lakini siwezi! Na kumuacha nashindwaaa kabisa naombeni ushauri nifanyeje katika hili?
Nipo kwenye kutibu majeraha na maisha yanasnga hvo jamaa nae avumilie TuPole chief
Ndiyo nilishamsahau kabisaYule jamaa ulishaga msahau???
Kipindi unaandika kisa chako nilikua nimeachwa nikaja nikadaka mtoto mwngne nae akaniacha nikadaka mwngne nw ni wk kama tmeshaachanaNdiyo nilishamsahau kabisa
Wewe naye duh! Shida nini au bado unamkumbuka x wako? Ndiyo maana unashindwa kudumuKipindi unaandika kisa chako nilikua nimeachwa nikaja nikadaka mtoto mwngne nae akaniacha nikadaka mwngne nw ni wk kama tmeshaachana
kubali kuachika!Habari wana JF
Hapa nimebakia njia panda muda huu leo baada ya kumpigia mpenzi wangu simu! Ambaye tulipendana saaana, siku za nyuma hapo tulikosana lakini tukapatana tena maisha yakasonga leo hii nimempigia simu ananijibu majibu ya mkato sana. Nikituma sms anajibu kwa mikato nikimuulza shida nini? Anasema hakuna mpaka nilipo mbona saaana akatamuka tu neno moja " naomba uniache " Nikamuulza kivipi anasema tuu nimuache hanipendi.
Tena nashindwa kumwelewa shida nini! Hapa nilipo na hasira natamani hata nikamuue lakini siwezi! Na kumuacha nashindwaaa kabisa naombeni ushauri nifanyeje katika hili?
Sijasema kitu lakini K vant ndogo ni 3500 nazani
Mpaka hapo na ma ex Watat dah,ngoja nitulie kwanza,mpaka hapo hakuna ninae mkumbuka nimeshawasahau wote!Wewe naye duh! Shida nini au bado unamkumbuka x wako? Ndiyo maana unashindwa kudumu
Yan Huu mwez na mm yamenitokea kama Yako,mim nakushauri hata namba ufute tu na usiwaze kulipiza kisasi.Cha msingi songa mbele Tu Wanawake ni Wengi huo mda wa kuwaza kufanya kisasi ebu tafuta pesa ujiendeleze kiuchumihu mwez umeanza vibaya asee afazar hata wew mpuuz wako anajibu hata mesej na kukupa sabbu ya kukuacha , mie pia mshenz wangu huku kanilia buyu, hapokei smu zangu, hajibu sms, wala wasap ana view status na blue tick lkn hajibu kitu, chaajabu msheni yule nkimtafta kwa nmba ngeni anarespond vizur sana tena kwa ucheshi mkubwanikishajitambulisha kuwa ni mimi, simu inakatwa na mesej ndo hazijibiwi tena yaani daaaa...Asa namimi nikaue??
mimi uamuz wangu nimesitisha sehem zote tulzokuwa tunachat, mfano wasap, hii nimefuta na siiwek mpka ntakapojilizisha kuwa nikiingia sitopata hisia za kumbukumb zake, pia vdeo na picha ni kufuta, mesej za normal text ni kufuta, call history nayo kufuta, pia kuto ruhusu hisia zozote nzur kumuhus yeye,.
la mwisho nimewekeza muda zaid kwa watot wazur wengine ikiwa ni pamoja na kuchat nao kwa muda mrefu ili kupunguza gap la kumuwasa yule mshenz
note:- Namba yake sifuti, ipo kwa ajili ya dharula na special revenge hapo nitakapopata mwanya wa kulipiza haya alyonfanyia mtoto wa mwanamke mwnzake, naapa humu uyu dem akijirengesha nitamliza mpka mama yake uko aliko tumbo la uzaz limcheze...kama utasoma hii wew fulani jua kuwa I'm waiting you
Ulitupa vyote ukachukua vyote.Habari wana JF
Hapa nimebakia njia panda muda huu leo baada ya kumpigia mpenzi wangu simu! Ambaye tulipendana saaana, siku za nyuma hapo tulikosana lakini tukapatana tena maisha yakasonga leo hii nimempigia simu ananijibu majibu ya mkato sana. Nikituma sms anajibu kwa mikato nikimuulza shida nini? Anasema hakuna mpaka nilipo mbona saaana akatamuka tu neno moja " naomba uniache " Nikamuulza kivipi anasema tuu nimuache hanipendi.
Tena nashindwa kumwelewa shida nini! Hapa nilipo na hasira natamani hata nikamuue lakini siwezi! Na kumuacha nashindwaaa kabisa naombeni ushauri nifanyeje katika hili?
ntamkumbukaj sasa nsipo save nmb yake, wengne tukifutaga nmba, inamaanish tushamfuta huyo mtu kbsa na mission completed, sas m huyu mission badoKwani mkuu ukifuta namba akikutafuta si atajitambulisha, una haribu sana mkuu manzi akikutafuta akajua hukufuta namba yake jua maumivu yatakupiga wewe sio yeye, jiandae kulia tena.