Nimeachwa na mpenzi wangu, nifanye nini niimudu hali hii?

Habari wana JF

Hapa nimebakia njia panda muda huu leo baada ya kumpigia mpenzi wangu simu! Ambaye tulipendana saaana, siku za nyuma hapo tulikosana lakini tukapatana tena maisha yakasonga leo hii nimempigia simu ananijibu majibu ya mkato sana. Nikituma sms anajibu kwa mikato nikimuulza shida nini? Anasema hakuna mpaka nilipo mbona saaana akatamuka tu neno moja " naomba uniache " Nikamuulza kivipi anasema tuu nimuache hanipendi.

Tena nashindwa kumwelewa shida nini! Hapa nilipo na hasira natamani hata nikamuue lakini siwezi! Na kumuacha nashindwaaa kabisa naombeni ushauri nifanyeje katika hili?
Mnajikutaga love boys uongo?

Tomb* sepa uone nani atakae kuumiza.

TAFUTA HELA KIJANA MENGINE ANASA TU.

#YNWA
 
kwanza kubali kuwa si wewe wa kwanza kuachwa, Obama na umaarufu wote wa kuwa rais wa kwanza mweusi alishawahi kuachwa na mpenz wake, kila mwanaume ameshawahi pitia hayo, sasa wote tungeua ingekuaje?

jipange upya, kula vizuri fanya mazoezi rekebisha mapungufu yako kama yapo, jifunze jinsi ya kuwa mwanaume gentleman kwa kusoma nyaraka mbalimbali, tafuta marafiki wa kike piga nao stories, siku ukiamua tafuta mwanamke ambae anakuvutia sana, utampata!
.
.
Hongera sana kwa kuachwa, na pole sana kwa unavyojisikia, japo hio ni hatua ya kwanza ya uanaume, imagine uoe sasa na hio hali halafu upate kashkash za ndoa si utaua wewe! relax kijana relax!
Da we jamaa utakuwa kuwa kichwa Sana...
 
Ukweli ndio huo, hakupendi. usipingane na ukweli. shukuru kakwambia ukweli. ushauri wangu ili kumsahau. kata njia zote za mawasiliano nae, futa picha zake, jikubali unaeza ishi bila yeye. (furaha yako isimtegeme mtu) jipende mwenyew, kua bize na shughuli zako zinazokuingzia kipato.. mwombe Mungu wako. Kama unaona kakukosea msamehe kiroho safi, maana ukimwekea kinyongo itakua ni vgum sana kutoka kichwani. hivyo samehe. jingine kumbuka hata baada ya kuachana ni lazima maisha yaendele. jizoeshe tu mambo yataka sawa. kila lakher
 
Ndio huyo huyo sinaga tabia ya kuwa na wawili nikimpta mmoja huwa nabaki hapo hapo
Ndo unapofeli gari lazima liwe na tairi ya ziada mzee baba ikitokea kama hyo yako huhangaiki kuumiza kichwa na kuja kutafta huruma huku unampa go ahead unasogeza chombo ingine ova
 
Back
Top Bottom