NIMEACHWA LEO TAREHE 7/9/2019

Mie niliachwa tarehe 7/2/2016 siku ya jumapili

Mwakani tukumbushane hizo tarehe basi ili tusheherekee miaka kadhaa ya uhuru
Bibie waonaje ukiwa nami binadamu nisiejua kuacha...?
Tena nisie mashaka Kama mla mbatata,nitakujaza furaha isiyo mashaka,si tu chochote utapata Bali hata kuacha hutataka!,si kwasababu ya makwata Bali utamu matata.
Ndimi wako wakili,hata usifikiri
Nipe yako asili,usiku nikusitiri.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom