Nimeachwa kisa siko romantic

Me huwa nawashangaa watu wanaotoa ushauli ya kuwa tafuta hela mara hauna pesa, mbona mnaziabudu sana pesa kiasi za kuzigeuza kuwa miungu yenu, hivi pesa ndio inawapa uhai au, ujinga, ukiacha hisia zikuendeshe milele hauzi kuwa mkweli na ukweli utabaki milele,
 
Chanzo cha yote hayo hujamla tigo buda. Hiyo ndiyo romantiki yenyewe. Kuna jamaa huko anampakua kisamvu ndiyo anaonekana romantiki balaa. Acha huruma za kifamba. We sogeza chupi pembeni mtie nyuma.

Atakua akiona tu namba yako kwenye simu anarembua na kule kudogo kunapwita bwi bwi bwi.
 
Kuachwa kwa sababu hayuko ROMANTIC kamwe si sababu ya kipumbavu. Na si ajabu alishaombwa awe romantic akapuuzia sasa imekula kwake. Huhitaji kuwa bilionea ili uwe romantic. Au nasema uongo ndugu zangu? 😜

Ukiona mtu amekuacha kwasabbu za kipumbav jua tu ana mahusiano mengne ambayo yana mpumbaza na hapo amepata kisingizio mara nying anaeachwa anabak single na anaeacha anakua na mahusiano yake mengne.


Ila sometimes yule anaeacha anabak single kwenye situation kama mmoja wapo ana mahusiano yake mengne na anatafuta sabbu akuache hajui aanze vp unakuta anakufnyia visa na kukukuumza sana ili tu ugive up na pale tu ikitokea yamekufka shingon ndio unaamua nimuache tu aende then utagundua hayuko affected na mamauz yako hapo.

Sasa unajikuta umeacha upo single na yy ameachwa Ila ana mahusiano mengne watu hawana huruma wala kujali moyo wa mtu
 
Hahahahaha atafute pesa tu pesa ina nafasi yake sana kwenye mapenzi

Hivi unafikili angekuwa na pesa angeambiwa hayupo romantic
Pesesa htaa siyo fimbo...

Kwanza makubaliano hapo ndiyo pesa huwa na thamani...

Ingawa maisha siyo kutesa kila siku ila pesa ndiyo kila kitu au siyo...
 
Pesesa htaa siyo fimbo...

Kwanza makubaliano hapo ndiyo pesa huwa na thamani...

Ingawa maisha siyo kutesa kila siku ila pesa ndiyo kila kitu au siyo...
Najaribu kukuelewa eti nashindwa
Kwahiyo hapo shida ni nini
 
For the record Jeff Bezos aliachana na mkewe, Elon Musk aliachana na mpenzi wake wa mwanzo, Two richest men in the world right now. Boss Roman Abramovich na visima vyake alitaka kuachwa na mkewe ila akabembeleza sana baada ya kusikia wanagawana mali. Njoo Bongo Reginald Mengi aliachana na mkewe. Zari aliachana na Ivan. Mifano ni mingi mno hao ni watu maarufu 2. Kwahyo allow me to say kusema mapenzi pesa ni ulimbukeni unless umaanishe mapenzi biashara. Infact I have got money to afford many women in Tanzania that's why nlichangia vile.
Plente maney
 
Mkuu usipoteze muda sana na hao watu,,, hata ukiwa romantic pia atakuona boya then atawazimia ma Gangstar...

Sheria ni moja tu..
Binadamu wengi wanapenda vitu wasivyoweza kuvipata... So jitahidi unavoweza asione kam ndio imefika,, kuwa nae ila ajue saa yoyote unaeza endelea..

BOR wakuogope,,, Wakikupenda watakuchukia.
 
Back
Top Bottom