Maana yake iko sheeda kwenye matumizi bro! Tatua shida zote za mwanamke zikimjia.Hello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217
Maana yake iko sheeda kwenye matumizi bro! Tatua shida zote za mwanamke zikimjia.Hello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217
Hello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217dah bora wwe amekumbia hvyo... wengine sisi huku tunaambia huwz kujali ata girl friend ako,, ata najiuliza kujali vip wakat tuko in relation
Siku atakayokuja kuzipata hizo pesa, mtamwambia akatafute nguvu za kiume...Mkuu tafuta hela tu watoto wazuri hawatakukimbia
Hahahahaha atafute pesa tu pesa ina nafasi yake sana kwenye mapenziSiku atakayokuja kuzipata hizo pesa, mtamwambia akatafute nguvu za kiume...
Katoto tafuta wadada achana na watoto watakuaibisha mpaka ufeeHello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217
Ukiona mtu amekuacha kwasabbu za kipumbav jua tu ana mahusiano mengne ambayo yana mpumbaza na hapo amepata kisingizio mara nying anaeachwa anabak single na anaeacha anakua na mahusiano yake mengne.
Ila sometimes yule anaeacha anabak single kwenye situation kama mmoja wapo ana mahusiano yake mengne na anatafuta sabbu akuache hajui aanze vp unakuta anakufnyia visa na kukukuumza sana ili tu ugive up na pale tu ikitokea yamekufka shingon ndio unaamua nimuache tu aende then utagundua hayuko affected na mamauz yako hapo.
Sasa unajikuta umeacha upo single na yy ameachwa Ila ana mahusiano mengne watu hawana huruma wala kujali moyo wa mtu
wewe ni Musukuma??
Pesesa htaa siyo fimbo...Hahahahaha atafute pesa tu pesa ina nafasi yake sana kwenye mapenzi
Hivi unafikili angekuwa na pesa angeambiwa hayupo romantic
Najaribu kukuelewa eti nashindwaPesesa htaa siyo fimbo...
Kwanza makubaliano hapo ndiyo pesa huwa na thamani...
Ingawa maisha siyo kutesa kila siku ila pesa ndiyo kila kitu au siyo...
Unaela?Hello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217
Na cover la simu lenye masikio ya sunguraNa kibegi mgongoni
Me mwenyewe cwez mambo poa imeisha mjini kudekeana hatutakiAtakua ana taka zilr za ...Babe umekula.umelala.umeota .unawaza nini ? Ujinga kabsa
SUBIRI KIDOGO
Plente maneyFor the record Jeff Bezos aliachana na mkewe, Elon Musk aliachana na mpenzi wake wa mwanzo, Two richest men in the world right now. Boss Roman Abramovich na visima vyake alitaka kuachwa na mkewe ila akabembeleza sana baada ya kusikia wanagawana mali. Njoo Bongo Reginald Mengi aliachana na mkewe. Zari aliachana na Ivan. Mifano ni mingi mno hao ni watu maarufu 2. Kwahyo allow me to say kusema mapenzi pesa ni ulimbukeni unless umaanishe mapenzi biashara. Infact I have got money to afford many women in Tanzania that's why nlichangia vile.
WEWE UTAKUWA UNA TABIA ZA WAIYAK, YULE FBI WA KWENYE PRISON BREA... JIFUNZE MAPENZI MWAMBA. SOMA NA VITABUHello Jf.
Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic.
Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?View attachment 1724217