Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Mambo vipi wana JF!
Ngoja niwashirikishe kwenye hii issue iliyonikuta leo mornie wakati naelekea kwenye kibarua.
Nilikuwa nimekaa kwenye seat yangu fresh mara akaingia mdada amebeba mtoto mgongoni hata simfahamu akawa kakosa seat akaomba msaada kwangu nimsaidie kumshikia mtoto.
Nikawa nimembeba huyo malaika wa Mungu huku nakibembeleza kimevishwa vizuri kabisa kitoto cha kiume.
Time ya kushuka kwa stand tafuta yule dada haonekani,uliza kila abiria mwenye mtoto achukue mwanae hakuna kila mtu ananiangalia 2.
Ikabidi 2peleke gari police na abiria wote taratibu zote zikafuatwa ndo kwanza nime2lia.
Pls dadaz acheni kutelekeza watoto!!
Ngoja niwashirikishe kwenye hii issue iliyonikuta leo mornie wakati naelekea kwenye kibarua.
Nilikuwa nimekaa kwenye seat yangu fresh mara akaingia mdada amebeba mtoto mgongoni hata simfahamu akawa kakosa seat akaomba msaada kwangu nimsaidie kumshikia mtoto.
Nikawa nimembeba huyo malaika wa Mungu huku nakibembeleza kimevishwa vizuri kabisa kitoto cha kiume.
Time ya kushuka kwa stand tafuta yule dada haonekani,uliza kila abiria mwenye mtoto achukue mwanae hakuna kila mtu ananiangalia 2.
Ikabidi 2peleke gari police na abiria wote taratibu zote zikafuatwa ndo kwanza nime2lia.
Pls dadaz acheni kutelekeza watoto!!