Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
kwa mimi hunifai maana utakuwa umetumika sana mpaka nahisi sitafaidi. jamani hebu fikiria 29 wote wamepita eti mimi wa 30 nitaweza kweli? ingawa kuna usemi ng'ombe hazeeki maini lakini mhii kila nikifikiria roho inakataa labda ataokea wa kukufaa nakutakia mafanikio mema
Heee...Iron 2012 mie nilidhani we mwanamke mbona hoja zako zinanifanya nifikirie vinginevyo??
Back to the Topic.....
Yawezekana tukamuona Erotica wa ajabu na katumika sana kwasababu hao wengine hawaweki wazi CV zao...Laiti ingekuwa ni sabuni nadhani wengine wangekuwa wanatumia magadi sasa maana ingeshakwisha siku nyingi...Kuna watu wana CV za kutisha.....