Natuma pm nyingi wengine nasahau, ngoja nikutumie upya. alafu au nini?
Erotica has chosen not to receive private messages or may not be allowed to receive private messages. Therefore you may not send your message to him/her.
If you are trying to send this message to multiple recipients, remove Erotica from the recipient list and send the message again.
Natuma pm nyingi wengine nasahau, ngoja nikutumie upya. alafu au nini?
Kwahiyo umeshamaliza kula hiyo kitu...basi ntakukaribisha kunywa mvinyo na Jack Daniel[/QUOTE]
ohooooo!....angalia usipate brein konkashen mkuu!mazingira na hako ka-kinywaji mmmnh!!
Kumbe ndio maaaaaana!!?? mie natuma zinapotea na wewe ukituma ndio unapata ujumbe huo Ndahani?
Mods wea ar u pamoja na Invisible wenu mje mnieleze tatizo lipo wapi?? Kaaaaah! mie tu ndio nimeonewa?
Sijti ni kwa nini ulitaka ufikishe hao 29 kisha mumeo awe wa 30,dah!Uko used mno nahisi tairi zote zimeisha zimebaki rim!
hio kazi ya massage naacha! itakuwa tu kwa mume wangu. atakae nipigia hata kama
namjua nitamuuliza wewe ni nani na umeanza vipi kupiga namba yangu? kumbuka nabadilisha namba BW.
hahahahah Ero kila la heri
BW,
Hapo Eros mambo yamekaa kimjini mjini kweli
kwa mimi hunifai maana utakuwa umetumika sana mpaka nahisi sitafaidi. jamani hebu fikiria 29 wote wamepita eti mimi wa 30 nitaweza kweli? ingawa kuna usemi ng'ombe hazeeki maini lakini mhii kila nikifikiria roho inakataa labda ataokea wa kukufaa nakutakia mafanikio mema
Nipo Mangi..mbonya tsafo!??
Najaribu kumuelewa dada Erotica na kuona kama nitapata fursa ya kuwa na moyo wake..