Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,115
- 2,490
Heri ya mwaka mpya nduguzanguni, natumai sote ni wazima na hatuna budi kupeleka shukran zetu kwa mungu alietuwezesha sisi kuweza kuuona mwaka mwengine kwani wapo wengine waliotaman kuufikiamwaka huu ila hawakuweza kuufikia yote hayo kwa mapenz yake yeye alie juu juu zaidi...
Moja kwa moja niingie kwenye mada ilionileta hapa...
Mwaka jana nilipoteza driving licence yngu nikaenda ku renew ilikua ni mwez wa 10, nikalipia 40,000/= kupitia cm banking kwa CRDB (ACC YA TRA). Wakaniambia kwamba mpaka utakapotumiwa ujumbe (message) ndipo urudi kuchukua licence yako, ila hadi sasa naona kmya hakuna taarifa zozote zile. Hvyo nilikua nauliza je licence hazijatoka bado? Au labda kuna tatzo lolote ambalo labda silijui?
NAWASILISHA... ASANTENI
Moja kwa moja niingie kwenye mada ilionileta hapa...
Mwaka jana nilipoteza driving licence yngu nikaenda ku renew ilikua ni mwez wa 10, nikalipia 40,000/= kupitia cm banking kwa CRDB (ACC YA TRA). Wakaniambia kwamba mpaka utakapotumiwa ujumbe (message) ndipo urudi kuchukua licence yako, ila hadi sasa naona kmya hakuna taarifa zozote zile. Hvyo nilikua nauliza je licence hazijatoka bado? Au labda kuna tatzo lolote ambalo labda silijui?
NAWASILISHA... ASANTENI