Majan
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,165
- 1,515
Nidesturi ya sehemu nyingi kuambiwa "KARIBU TENA" baada yakupatiwa huduma fulani lakini maneo haya kamwe huwezi kuambiwa karibu tena nakama utaambiwa hivyo basi utahisi unatakiwa NUKSI ama UCHURO baadhi yamaeneo hayo ni:
(1):-MORTUARY
(2):-KWAMUUZA MAJENEZA
(3):-GEREZANI
Ongeza na wewe sehemu unayozani huwezi kuambiwa "KARIBU TENA"
(1):-MORTUARY
(2):-KWAMUUZA MAJENEZA
(3):-GEREZANI
Ongeza na wewe sehemu unayozani huwezi kuambiwa "KARIBU TENA"