Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,658
- 22,255
Jana usiku nikiangalia taarifa ya habari ya kituo kimoja cha runinga kulikuwa na habari zilizohusu hosipitali mbili za jijini Dar es Salaam. Jambo moja kubwa la kutisha ni pale dakitali mmoja alipoongea kwa hisia kubwa.
Dakitari huyo alisema idadi ya akinamama wanaopeleka watoto kwenye chanjo hosipitali imepungua! Akinamama wanaokwenda kiliniki wamepungua! Na watu wanaokwenda hosipitali kwa ajili ya tiba wamepungua!
Najua baadhi ya watu wanahofia kuambukizwa maradhi baada ya kuona watumishi wa hosipitali wanavaa barakoa, lakini pia wako ambao wameondoa imani kwenye tiba za hosipitali, hali hii inaleta mashaka ya afya ya mama na mtoto hapo baadae.
Dakitari huyo alisema idadi ya akinamama wanaopeleka watoto kwenye chanjo hosipitali imepungua! Akinamama wanaokwenda kiliniki wamepungua! Na watu wanaokwenda hosipitali kwa ajili ya tiba wamepungua!
Najua baadhi ya watu wanahofia kuambukizwa maradhi baada ya kuona watumishi wa hosipitali wanavaa barakoa, lakini pia wako ambao wameondoa imani kwenye tiba za hosipitali, hali hii inaleta mashaka ya afya ya mama na mtoto hapo baadae.