Nilizaliwa uchi na nitazikwa bila mali zangu(uchi)

Chimbuvu

JF-Expert Member
Jul 17, 2012
4,401
2,332
Watu wengi huogopa wanaposikia kifo na kusikitika,lakini cha kushangaza ni kuwa kila nafsi itaonja mauti.maisha duniani ni mafupi,unaweza ukawa na mali nyingi hadi akaunti uswisi ukawa nazo lakini kifo kitakapokutembelea hautazikwa na pesa zako ama nyumba yako uliyojenga,na cha kushangaza wanaweza kukuvalisha hata nguo uliyokuwa huipendi.

One million dollar question....je baada ya kufa kuna maisha tena?kwa sisi waamini tunaimani kuwa kuna mbingu na kuzimu,mbinguni tunaenda kwa neema sio matendo,kwa kuwa huwa tunakosea mara nyingi tukiwa duniani,neema ya kumtambua Yesu kristo kuwa ni mwana wa Mungu,aliyeishi katika mwili ,akafa kwa ajili ya dhambi zetu ili tuololewe na siku ya tatu akafufuka,na kuzimu ni sehemu ambapo waiomuamini Yesu kristo,,mbinguni tumeandaliwa mji uliojengwa kwa marumaru na barabara za huo mji zimetengenezwa kwa dhahabu,nachuchumia ili niweze kuingia ktk mji wenye raha,paradiso,tuonane paradiso,tuonane paradiso kwenye mji wa raha.oohh death where is your sting?oohh kifo mwiba wako upo wapi?to God be the Glory!
 
Watu wengi huogopa wanaposikia kifo na kusikitika,lakini cha kushangaza ni kuwa kila nafsi itaonja mauti.maisha duniani ni mafupi,unaweza ukawa na mali nyingi hadi akaunti uswisi ukawa nazo lakini kifo kitakapokutembelea hautazikwa na pesa zako ama nyumba yako uliyojenga,na cha kushangaza wanaweza kukuvalisha hata nguo uliyokuwa huipendi.
One million dollar question....je baada ya kufa kuna maisha tena?kwa sisi waamini tunaimani kuwa kuna mbingu na kuzimu,mbinguni tunaenda kwa neema sio matendo,kwa kuwa huwa tunakosea mara nyingi tukiwa duniani,neema ya kumtambua Yesu kristo kuwa ni mwana wa Mungu,aliyeishi katika mwili ,akafa kwa ajili ya dhambi zetu ili tuololewe na siku ya tatu akafufuka,na kuzimu ni sehemu ambapo waiomuamini Yesu kristo,,mbinguni tumeandaliwa mji uliojengwa kwa marumaru na barabara za huo mji zimetengenezwa kwa dhahabu,nachuchumia ili niweze kuingia ktk mji wenye raha,paradiso,tuonane paradiso,tuonane paradiso kwenye mji wa raha.oohh death where is your sting?oohh kifo mwiba wako upo wapi?to God be the Glory!

Pesa inakusaidia kufa comfortable
 
Hahahahahaha! Baelezee Natalia. It is easier to cry in a bmw with the heater on than on a bicycle. Chezeiya pesa?
 
Last edited by a moderator:
Usitake kufa kwa sababu ya.
Jifunze kukubaliana na hali yako na kujua ni jinsi gani unaweza kuiepuka au kuiacha kabisa,
Jitahidi kumshirikisha MUNGU kwenye mambo yako ili aweze kukusaidia ktk mambo yako coz naona kama uneshakata tamaa ya kuishi.
 
Pesa inakusaidia kufa comfortable

Mkuu pesa inakusaidia kufa Comfortable? pesa inakufanya unakufa kwa tabu, naamini hivyo......ukiumwa kidogo unawaza kufa coz utaacha pesa zako, nyumba, mali na raha za dunia, hayo pia ni mateso.......katika moja ya mafundisho ya dini ni kuwa uchague moja kumtumika Mungu au pesa maana vyote viwili hutaweza na ilivyo ni wazi utatumikia pesa.
 
Mkuu pesa inakusaidia kufa Comfortable? pesa inakufanya unakufa kwa tabu, naamini hivyo......ukiumwa kidogo unawaza kufa coz utaacha pesa zako, nyumba, mali na raha za dunia, hayo pia ni mateso.......katika moja ya mafundisho ya dini ni kuwa uchague moja kumtumika Mungu au pesa maana vyote viwili hutaweza na ilivyo ni wazi utatumikia pesa.
Hutaki kufa usingizini.
 
Hahahahahah kufa kwangu ni faida,kuishi ni kwa faida yenu,,ila nikiambiwa nichague moja nitachagua kuondoka huku duniani ila kwa sababu ya kuwatumikia ninyi nitabaki kwa faida yenu




Usitake kufa kwa sababu ya.
Jifunze kukubaliana na hali yako na kujua ni jinsi gani unaweza kuiepuka au kuiacha kabisa,
Jitahidi kumshirikisha MUNGU kwenye mambo yako ili aweze kukusaidia ktk mambo yako coz naona kama uneshakata tamaa ya kuishi.
 
Yote ni ubatili mtupu :ayubu
masikini hana tofauti na tajili wote ni wale wale mbele ya dunia hii na mbingu.
Furaha na amani ya pesa ni mambo ya kupita na hayana mwingiliano na hali ya uwepo (existence)
essentially we exist kwa dhumuni kamili,
kama ajli vile,
tuna pata pesa na vitu tulivyo navyo .
Vivyo hivyo
ni kama ajali vile hatuna hivi vitu kama ilivyo ajali huwezi elezea bali ni mshangao tu:ayubu
bwana alito na bwana ametwaa jina labwana libarikiwe
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom