Swahilian
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 591
- 66
Imenichukua muda kuisimulia hii hadithi iliyo ya kweli..
Nahisi ni mie mwenyewe katika dunia hii nilokumbwa na mkasa huu wa aibu na ambao sitausahau maishani..
Ama kweli sikusikia la mkuu na hayo yakanitokea na mpaka leo najutia..
Sikupenda iwe hivyo hadi leo wewe usome habari yangu hii lakini natazama na kwa mbali, maji yalishamwagika.
Walezi wangu waliniamini tangu nikiwa mdogo kuwa kijana mwema, hakika hawakukosea.
Kunipeleka shule nikatoe ujinga na kusoma elimu ya dini walinipatia.
Sikuwa mgomvi, mtukani wala jeuri ila kimoja tu kilinifanya kuangamia,
Dhakali iliyo ktk maungo yangu ilinitia topeni ikanichafua..
Kipindi hicho namaliza kidato cha sita binti mrembo nyumbani akaingia..
Si kwamba aliletwa nimweke gambani na kunililia..
Bali awe Dada wa kazi nyumbani kutusaidia..
Tamaa za tupu ya mbele zikanizidia, baadaye nikamwingilia..
Zikapita siku za kufurahia.. Aah kumbe machungu yaningojea..
Kaniita siku moja huyo dada/mpenzi akaanza kunambia..
Nimejaa my dia nataka kuitoa..
Wote nyumbani wakajua, nkabaki kuchukia binti kawa harufu mbaya sitaki hata akisogea..
Wote wakagundua vikao kukaliwa..
Binti akasanua ati mie ndo nilokamua,
sina la kuamua tusubiri kumpokea..
Mpaka sasa naongea mwana yu miaka tano..
Nimetaabika sana moyo wangu ukiungua..
Kumwoa sikupanga je? Nifanyeje kumlipia!
Nampenda mwanangu aishi kwa ulezi wa baba na mama..
MAMAYE KUMWOA SINTAWEZA...
Ushauri wenu utanifungua mawazo..
Wasalaam..
Nahisi ni mie mwenyewe katika dunia hii nilokumbwa na mkasa huu wa aibu na ambao sitausahau maishani..
Ama kweli sikusikia la mkuu na hayo yakanitokea na mpaka leo najutia..
Sikupenda iwe hivyo hadi leo wewe usome habari yangu hii lakini natazama na kwa mbali, maji yalishamwagika.
Walezi wangu waliniamini tangu nikiwa mdogo kuwa kijana mwema, hakika hawakukosea.
Kunipeleka shule nikatoe ujinga na kusoma elimu ya dini walinipatia.
Sikuwa mgomvi, mtukani wala jeuri ila kimoja tu kilinifanya kuangamia,
Dhakali iliyo ktk maungo yangu ilinitia topeni ikanichafua..
Kipindi hicho namaliza kidato cha sita binti mrembo nyumbani akaingia..
Si kwamba aliletwa nimweke gambani na kunililia..
Bali awe Dada wa kazi nyumbani kutusaidia..
Tamaa za tupu ya mbele zikanizidia, baadaye nikamwingilia..
Zikapita siku za kufurahia.. Aah kumbe machungu yaningojea..
Kaniita siku moja huyo dada/mpenzi akaanza kunambia..
Nimejaa my dia nataka kuitoa..
Wote nyumbani wakajua, nkabaki kuchukia binti kawa harufu mbaya sitaki hata akisogea..
Wote wakagundua vikao kukaliwa..
Binti akasanua ati mie ndo nilokamua,
sina la kuamua tusubiri kumpokea..
Mpaka sasa naongea mwana yu miaka tano..
Nimetaabika sana moyo wangu ukiungua..
Kumwoa sikupanga je? Nifanyeje kumlipia!
Nampenda mwanangu aishi kwa ulezi wa baba na mama..
MAMAYE KUMWOA SINTAWEZA...
Ushauri wenu utanifungua mawazo..
Wasalaam..