Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,206
- 4,698
Niliyoyashuhudia nikiwa ziarani Wilayani Tarime Mkoani Mara
Ziara yangu ya muda mfupi kanda maalumu imenipa uzoefu wa mambo kadhaa ambayo sikuyajua hapo awali!
Hata hivyo nitataja kwa uchache yale yaliyo mema na ya kuvutia!
Kwa upande wa chakula
1.Uji wa ulezi halisi uliochanganywa na maziwa halisi pamoja na karanga mbichi gharama yake tshs 700
2. Lita moja ya maziwa flesh kabisa na yanayopatikana kwa wingi tshs 800-1,0003.
3. Ndizi za tshs 500 mnakula watu 2-3
4.Ugali wa udaga, nyama choma na kichuri tshs 1,500
5. Matumizi ya maziwa mgando na karanga ni makubwa sana
6. Wakazi wa huku ni wakarimu sana upande wa chakula!
Kwa upande wa mavazi
1. Nimetathmini sana uvaaji hasa watoto wa kike!
2. Wengi hupendelea magauni na kanga na chini hupiga raba
Sio rahisi kuona mtoto wa kike amepiga pamba za kisasa!
3. Wengi wamefunga kitambaa kichwani au kusuka au kutokusuka bila kuweka dawa
4.Sio weledi kwenye mazu gumzo na wagumu kuele
ewa somo ( hawana kabisa romantic language)
Matumizi ya lugha
1. Wakazi wengi hawana soft au romantic language kabisa!
Kwa ujumla nimefurahia ziara yangu Kanda maalumu japo sikubahatisha kupata mnyama hata mmoja!
Ziara yangu ya muda mfupi kanda maalumu imenipa uzoefu wa mambo kadhaa ambayo sikuyajua hapo awali!
Hata hivyo nitataja kwa uchache yale yaliyo mema na ya kuvutia!
Kwa upande wa chakula
1.Uji wa ulezi halisi uliochanganywa na maziwa halisi pamoja na karanga mbichi gharama yake tshs 700
2. Lita moja ya maziwa flesh kabisa na yanayopatikana kwa wingi tshs 800-1,0003.
3. Ndizi za tshs 500 mnakula watu 2-3
4.Ugali wa udaga, nyama choma na kichuri tshs 1,500
5. Matumizi ya maziwa mgando na karanga ni makubwa sana
6. Wakazi wa huku ni wakarimu sana upande wa chakula!
Kwa upande wa mavazi
1. Nimetathmini sana uvaaji hasa watoto wa kike!
2. Wengi hupendelea magauni na kanga na chini hupiga raba
Sio rahisi kuona mtoto wa kike amepiga pamba za kisasa!
3. Wengi wamefunga kitambaa kichwani au kusuka au kutokusuka bila kuweka dawa
4.Sio weledi kwenye mazu gumzo na wagumu kuele
ewa somo ( hawana kabisa romantic language)
Matumizi ya lugha
1. Wakazi wengi hawana soft au romantic language kabisa!
Kwa ujumla nimefurahia ziara yangu Kanda maalumu japo sikubahatisha kupata mnyama hata mmoja!