MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
- Thread starter
- #61
Nazani kakutuma humu kumtetea. Ishu iko lazima ukifika wasalimie waumini wako, wapungie mkono, yeye hicho hafanyi. Ishi sio kuingia na Gari kali bali salimia kabla ya kuanza mkutano.
Sikiona akisalimia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiona akisalimia
Umaskini kitu kibaya mno kwa hiyo ulitaka aingie na bodaboda ndio roho yako ifurahi? halafu pale ni sehemu ya ibada ulitaka aingie akipunga mikono? ule haukuwa mkutano wa siasa
Sent using Jamii Forums mobile app